Namshukuru Mungu

Hivi Relief Mirzska unashindwaga nini kunitag kwenye nyuzi za faida kama hizi badala yake unanitagi kwenye nyuzi za wanaoblokiana wasapu [emoji3][emoji3]
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣


Hivi hukupata??? Rafiki kabisa hukupata??
 
Haswaa[emoji144]
Hahahahaahahahahhhhaaha.

Ngoja kwanza, nlikuwa na ligi na mtu akasema nkituma kiasi chochote yeye ata-double. Mimi nkatuma 50, hivi Ali-double???

πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Hahahahaahahahahhhhaaha.

Ngoja kwanza, nlikuwa na ligi na mtu akasema nkituma kiasi chochote yeye ata-double. Mimi nkatuma 50, hivi Ali-double???

[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Tafadhali mkumbushe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…