Namshukuru Mungu

Atakuwa katoa kwa upendeleo, niko kwa wakala hadi sasa[emoji1745][emoji134][emoji134][emoji134][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mnapenda pesa mno, ndiyo maana mnaliwa aisei..
 
Anza wewe kuthibitisha Mungu hayupo...!
Kisichopo hakithibitishiki hakipo, kwa sababu hakipo ili kithibitishike hakipo.

Kilichopo ndicho kinachothibitishika kipo, kwa sababu kipo na kinathibitishika kipo.

Ndiyo maana huwezi kupata alama za vidole za kuthibitisha mwizi ambaye hayupo kuwa hayupo.

Umeelewa?
 
Kwa wale waliokosa hata wasijali Mungu atupe uzima nitajipanga ili niweze kutoa kwa watu wa kutosha na nimeshukuru kwa kupokea kile kidogo nilichotoa,Mungu akinizidishia na nyie pia nitawazdishie kile alichonipa
 
Kiukweli mkuu leo ni Siku yang ya kizaliwa ivyo ungenipa iyo twenti ningetoa show kubwa sana apa geto Nile nijipongeze. Hivyo fanya kweli mze baba nitumie kwa namba hii..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…