HBDAY MPWA WANGU HONGERA SANA UNGETUTAJIA NA KALE KAMIAKA ULICHO NSMSHakika Sina Cha Kumlipa Mwenyezi Mungu Zaidi Ya Kumwambia AKHSANTE Kwa Kunipa Miaka Yangu Hii Niliyonayo Huku Nikiwa Nipo Salama Kabisa Na Sina Tatizo Lolote Lile.
Pia Napenda Kuchukuwa Nafasi Hii Kuwafahamisheni Members Kuwa Leo Tarehe 27, March Ni Birthday Yangu Ila Nisingependa Ipite Hivi Hivi Kama Nisingesema Kuwa Katika Moja Ya Furaha Zangu Na Maarifa Yangu Nimetoa Humu Kwenu JF Members Na Kusema Ukweli Huwa Nawafurahia Mno.
Napenda Pia Kuchukua Fursa Hii Murua Kuomba Radhi Kwa Wale Wote Ambao Kwa Namna Moja au Nyingine Niliwakwaza Na Sasa Naomba Tuanze Upya.
Nawapendeni Nyote Na Mwenyezi Mungu Awabariki Nanyi Pia Na Waanzilishi Wa Mtandao Huu Mzuri Na Muhimu Wa Jamii Forums Bila Kuwasahau Na Moderators Wote Kwa Kazi Yao Nzito Ya Kuhakikisha Mambo Yanaenda Vizuri Huku Wakitukong'oli BAN Za Kufa Mtu.
Akhsante Mwenyezi Mungu, Wazazi, Walimu / Wahadhiri Marafiki Zangu Wote Waliokuwa Na Msaada Mkubwa Mno Kwangu Hakika Bila Jitihada Zenu Leo Nisingekuwa GENTAMYCINE Huyu. Salute Kwenu Amen / Inshaallah.
Isiwe condom ameoaHbd to u!! Nawez kukutumia zawad
MaribsNimetoka Kuweka Shada La Maua Hapa Brussels Ubelgiji Nilitaka Nikamsalime Mbwana Samatta Mara Moja Lakini Yule House Girl Wake Mzungu Kaniambia Karudi Tanzania Kufunga Bao Jingine Kesho Uwanjani Taifa. Sasa Najiandaa Kwenda Kupanda Ndege Kuelekea Paris Ambako Leo Nataka Nikakeshe Na WENGE MUSICA BCBG Wanafanya ONYESHO Lao MAALUM Zenith Kisha Kesho Mchana Natarajia Kurejea Kwangu Washington Nina Kikao Muhimu Na Wagombea Urais Wawili MAARUFU Wa Republican Trump Na Mama Hillary Wa Democrat. Umesema DAWASCO Samahani Ndiyo Nini Hicho Mkuu? πππππππ.
Hahaaa mwalike mpwaa anataka visahuyooSemenya.
Hakika Sina Cha Kumlipa Mwenyezi Mungu Zaidi Ya Kumwambia AKHSANTE Kwa Kunipa Miaka Yangu Hii Niliyonayo Huku Nikiwa Nipo Salama Kabisa Na Sina Tatizo Lolote Lile.
Pia Napenda Kuchukuwa Nafasi Hii Kuwafahamisheni Members Kuwa Leo Tarehe 27, March Ni Birthday Yangu Ila Nisingependa Ipite Hivi Hivi Kama Nisingesema Kuwa Katika Moja Ya Furaha Zangu Na Maarifa Yangu Nimetoa Humu Kwenu JF Members Na Kusema Ukweli Huwa Nawafurahia Mno.
Napenda Pia Kuchukua Fursa Hii Murua Kuomba Radhi Kwa Wale Wote Ambao Kwa Namna Moja au Nyingine Niliwakwaza Na Sasa Naomba Tuanze Upya.
Nawapendeni Nyote Na Mwenyezi Mungu Awabariki Nanyi Pia Na Waanzilishi Wa Mtandao Huu Mzuri Na Muhimu Wa Jamii Forums Bila Kuwasahau Na Moderators Wote Kwa Kazi Yao Nzito Ya Kuhakikisha Mambo Yanaenda Vizuri Huku Wakitukong'oli BAN Za Kufa Mtu.
Akhsante Mwenyezi Mungu, Wazazi, Walimu / Wahadhiri Marafiki Zangu Wote Waliokuwa Na Msaada Mkubwa Mno Kwangu Hakika Bila Jitihada Zenu Leo Nisingekuwa GENTAMYCINE Huyu. Salute Kwenu Amen / Inshaallah.
We na LE mutuz ni ndugu?????Nimetoka Kuweka Shada La Maua Hapa Brussels Ubelgiji Nilitaka Nikamsalime Mbwana Samatta Mara Moja Lakini Yule House Girl Wake Mzungu Kaniambia Karudi Tanzania Kufunga Bao Jingine Kesho Uwanjani Taifa. Sasa Najiandaa Kwenda Kupanda Ndege Kuelekea Paris Ambako Leo Nataka Nikakeshe Na WENGE MUSICA BCBG Wanafanya ONYESHO Lao MAALUM Zenith Kisha Kesho Mchana Natarajia Kurejea Kwangu Washington Nina Kikao Muhimu Na Wagombea Urais Wawili MAARUFU Wa Republican Trump Na Mama Hillary Wa Democrat. Umesema DAWASCO Samahani Ndiyo Nini Hicho Mkuu? πππππππ.