Namtabiria Shilole kuja kuwa msanii wa kike mwenye pesa ndefu kuliko wote

Namtabiria Shilole kuja kuwa msanii wa kike mwenye pesa ndefu kuliko wote

Kuna siku niko dar, nilienda pale ktk mgahawa wake block 41,mdada mjanja mjanja sana,akifanikiwa si shangai

Naona ktk picha hapo yuko na CEO Kindamba ,safi Sana ,napenda wadada wa hv ,sio wale akina.....

Wadada wa Tabora mapambano ya kutafuta hela wanajua pia

[emoji767]101-03-821.M|T|C
 
Ninamtabiria huyu mwanadada Zuwena Muhammed(Shishi baby) baada ya miaka mitano atakuwa ni miongoni mwa wasanii wa kike wenye pesa nyingi zaidi hapa nchini.

Kitu kikubwa ambacho kinanisukuma kusema haya ni kutokana na tabia ya kujituma sana huku akiweka aibu pembeni mpaka pale jambo lake alitakalo litakapo fanikiwa.

Mbali na hilo Shishi ndiye msanii wa kike anayependwa zaidi hapa nchini kuliko msanii yeyote yule wa kike ,na yote hii ni kutokana na tabia yake ya kupenda kujichanganya na kila aina ya watu kuanzia wa hali ya chini kabisa mpaka wale wenye mpunga mrefu. Kwa kigezo hiki kwa namna moja au nyingine kinamfungulia milango ya ridhiki kila kukicha.


Mpaka sasa makampuni kadhaa zimejitokeza na nyingine nyingi zinazidi kujitokeza ili kuingia mkataba naye ambapo wanamlipa pesa iliyonona.

1)Hapa akisaini mkataba na TTCL

2)Hiki ni kitabu chake kipya kilichoingia sokoni hivi punde.


Shilole pia ni msanii wa kike anayeoma mbali sana na hilo lilijidhihirisha pale alipokubali kuolewa na fundi gereji ambaye kwa siku kipato chake hakizidi hata elfu 10.

Wengi walimcheka sana Shilole nikiwemo mimi,nilimponda vibaya sana ila kila kukicha amezidi kutu proove wrong kwamba hakukosea kukubali kuolewa na Uchebe ambaye hakuwa na mbele wala nyuma .

Watu wenye pesa zao wamelisumbukia sana penzi la Shilole bila mafanikio yoyote mwisho wa siku akaangukia mikononi mwa Uchebe na tangu aoelewe na Uchebe ,milango ya ridhiki inazidi kumfungukia kila kukicha.


Mungu azidi kum'bariki mwanadada huyu aweze kutimiza mahitaji ya moyo wake ikiwemo kujua kiingereza.View attachment 847507View attachment 847508

Hujakumbushia deni la pilipili...
 
Hivi huyo jamaa ni fundi gereji kabisa au ana miliki gereji?

ni fundi gereji , before hajaolewa na shilole nimeishi nae kitaa kimoja mwananyamala kwa mama zakari, geto langu kwa nyuma ndio alikua anakaa yeye na mke wake ( mama Anuari ) ambae kamuacha baada ya kua na shilole(dah umbea huu)

baada ya kuvishwa pete , akaama m/nyamala mazima!
 
ni fundi gereji , before hajaolewa na shilole nimeishi nae kitaa kimoja mwananyamala kwa mama zakari, geto langu kwa nyuma ndio alikua anakaa yeye na mke wake ( mama Anuari ) ambae kamuacha baada ya kua na shilole(dah umbea huu)

baada ya kuvishwa pete , akaama m/nyamala mazima!
Sipati picha kitu gani kilichowakutanisha fundi gereji na msanii star 😀😀😀😀...Hapo jamaa inabidi awe mtu wa mazoezi,puturu,mchuzi wa pweza ili aendelee kudumu kwenye kazi ya kuolewa.
 
sijui kwanini na Mimi najikuta nampenda huyu Dada mungu amsimamie katika shughuli zake
 
Ninamtabiria huyu mwanadada Zuwena Muhammed(Shishi baby) baada ya miaka mitano atakuwa ni miongoni mwa wasanii wa kike wenye pesa nyingi zaidi hapa nchini.

Kitu kikubwa ambacho kinanisukuma kusema haya ni kutokana na tabia ya kujituma sana huku akiweka aibu pembeni mpaka pale jambo lake alitakalo litakapo fanikiwa.

Mbali na hilo Shishi ndiye msanii wa kike anayependwa zaidi hapa nchini kuliko msanii yeyote yule wa kike ,na yote hii ni kutokana na tabia yake ya kupenda kujichanganya na kila aina ya watu kuanzia wa hali ya chini kabisa mpaka wale wenye mpunga mrefu. Kwa kigezo hiki kwa namna moja au nyingine kinamfungulia milango ya ridhiki kila kukicha.


Mpaka sasa makampuni kadhaa zimejitokeza na nyingine nyingi zinazidi kujitokeza ili kuingia mkataba naye ambapo wanamlipa pesa iliyonona.

1)Hapa akisaini mkataba na TTCL
View attachment 847507

2)Hiki ni kitabu chake kipya kilichoingia sokoni hivi punde.
View attachment 847508
Shilole pia ni msanii wa kike anayeoma mbali sana na hilo lilijidhihirisha pale alipokubali kuolewa na fundi gereji ambaye kwa siku kipato chake hakizidi hata elfu 10.

Wengi walimcheka sana Shilole nikiwemo mimi,nilimponda vibaya sana ila kila kukicha amezidi kutu proove wrong kwamba hakukosea kukubali kuolewa na Uchebe ambaye hakuwa na mbele wala nyuma .

Watu wenye pesa zao wamelisumbukia sana penzi la Shilole bila mafanikio yoyote mwisho wa siku akaangukia mikononi mwa Uchebe na tangu aoelewe na Uchebe ,milango ya ridhiki inazidi kumfungukia kila kukicha.

Mungu azidi kum'bariki mwanadada huyu aweze kutimiza mahitaji ya moyo wake ikiwemo kujua kiingereza.
Daah kutoka Moyoni nampendaga sana huyu dada,hanaga mashauzi ya kif.ala fala anacheka na kila mtu,mbali na hapo akiamua kujichetua kutokana na muktadha wa kazi yake anajichetua kweli....God Bless shishi...hivi unajua kwa nini CMG huwa hawamuachagi kwenye tour za Fiesta?
 
Mimi pia nampenda sana, nilikuwa simuelewi mwanzoni ila baadaye nikaja kumuelewa ni mtu wa namna gani. Napenda alivyo social na kilamtu, pia she's real tofauti na wasanii wengine ambao most of them wanaishi maisha ya Tamthilia. Hata wasanii wenzake inaonesha wanampenda...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom