Nimeenda park leo baada ya kutoroka kazini na kukuta vi baby vizuri kweli. Nikavitamani na nikaona why not na mimi nizae na niitwe mama. Uwezo wa kulea ninao na niya pia ninayo.
Nataka viwe vi mapacha. Baada ya kwenda home na kumuangalia boyfie nimeona ana mapungufu, anafaa
kuwa baba, ila sio kuni mimba.
Kuna utafiti uliopostiwa na Dr.
MziziMkavu ulionesha sifa za mtoto hutegemea sifa wazazi pia.
Tumekubaliana na boyfie nitafute huyo mwanaume na nijipatishe mimba. Baada ya hapo mimi na yeye tutaendelea na mahusiano, vikinoga vya baba na mama kama vilivo noga vya u boyfie na u galfrend tutafunga ndoa.
Natafuta mwanaume mwenye sifa zote ambao ziwe kwa watotot wangu hao. Huyo mwanaume awe na sifa zifuatazo
Awe mzuri kama kirusha roho changu
Ndahani, Charming na lovable kama
klorokwini, wawe wanapendwa na opposite sex kama babu
Asprin, awe na bahati na pesa kama
Bishanga, awe na akili kama
Mzee Mwanakijiji, Msiri kama
The Boss, ana mvuto kwa jinsia zote kama
Kaunga, Mkali kama
Invisible, Caring kama
Rejao, Mjanja kama
Boflo, magnetically Irresistible kama
Nyani Ngabu, sauti nzuri na sexy kama
fazaa, wa ukweli kama
EMT, hasomeki hadi aamue kama
Kongosho, creative kama
TANMO, macho mazuri kama
Erickb52, mpole kama
BAK na mwenye busara kama babu
Dark City. Awe na bahati kama
Mwali.
Kama una hizo sifa niambie.. nitaku pm mwenyewe baada ya kuona kweli nimepata baba watoto wangu.
Mwaaaaaaah. :baby: