Namtafuta Babys Walker (Umri Miaka 5)

Namtafuta Babys Walker (Umri Miaka 5)

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Wataalam habari zenu.

Kuna mtoto anashida ya kutembea, mara ya kwanza alikuwa hawezi kukaa, alikuwa analala tu. Tukamtafutia baby seater.
Sasa anakata, Sasa ni wakati wa kumtafutia baby walker. Naamini atasimama na kutembea.

Naona nguvu anazo ila kuna shida za hapa na pale za kiafa. Ikiwemo kuongea hawezi ila anasikia na anaweza kuongea mambo anayojisikia.

Nitapata wapi baby walker ya Umri huo? Hata kama ni ya kuchonga. Mfanano na hii ama zinginezo.
 

Attachments

  • Screenshot_20240914-085957.png
    Screenshot_20240914-085957.png
    436.6 KB · Views: 5
Wataalam habari zenu.

Kuna mtoto anashida ya kutembea, mara ya kwanza alikuwa hawezi kukaa, alikuwa analala tu. Tukamtafutia baby seater.
Sasa anakata, Sasa ni wakati wa kumtafutia baby walker. Naamini atasimama na kutembea.

Naona nguvu anazo ila kuna shida za hapa na pale za kiafa. Ikiwemo kuongea hawezi ila anasikia na anaweza kuongea mambo anayojisikia.

Nitapata wapi baby walker ya Umri huo? Hata kama ni ya kuchonga. Mfanano na hii ama zinginezo.
Zipo kibao mlimani city pale laki na nusu hadi laki na 90
 
Tafuta baby walker imara ukizingatia umri wa huyo mtoto ni miaka mitano.

Tahadhari asijeanguka awe na mwangalizi kwa ukaribu sana.
Nahisi mwanao anashida kidogo kwenye kiuno au uti wa mgongo.
Mungu ni mwema asime na atembee,iwe furaha kwa wazazi
 
Tafuta baby walker imara ukizingatia umri wa huyo mtoto ni miaka mitano.

Tahadhari asijeanguka awe na mwangalizi kwa ukaribu sana.
Nahisi mwanao anashida kidogo kwenye kiuno au uti wa mgongo.
Mungu ni mwema asime na atembee,iwe furaha kwa wazazi
Asante sana.

Nami natafuta imara.
 
Wataalam habari zenu.

Kuna mtoto anashida ya kutembea, mara ya kwanza alikuwa hawezi kukaa, alikuwa analala tu. Tukamtafutia baby seater.
Sasa anakata, Sasa ni wakati wa kumtafutia baby walker. Naamini atasimama na kutembea.

Naona nguvu anazo ila kuna shida za hapa na pale za kiafa. Ikiwemo kuongea hawezi ila anasikia na anaweza kuongea mambo anayojisikia.

Nitapata wapi baby walker ya Umri huo? Hata kama ni ya kuchonga. Mfanano na hii ama zinginezo.
Una hela naezakutengenezea ya chuma ambayo ataitumia hata akiwa na 10 yrs njoo pm
 
Wataalam habari zenu.

Kuna mtoto anashida ya kutembea, mara ya kwanza alikuwa hawezi kukaa, alikuwa analala tu. Tukamtafutia baby seater.
Sasa anakata, Sasa ni wakati wa kumtafutia baby walker. Naamini atasimama na kutembea.

Naona nguvu anazo ila kuna shida za hapa na pale za kiafa. Ikiwemo kuongea hawezi ila anasikia na anaweza kuongea mambo anayojisikia.

Nitapata wapi baby walker ya Umri huo? Hata kama ni ya kuchonga. Mfanano na hii ama zinginezo.
Hebu mtafute mtu anaitwa Occupational therapist amuo e huyo mwanao, sio kila kifaa kinaweza mfaa, vingine vinaweza muumiza zaidi
 
Hospital wapo, kwa mkoa uliopo nenda hosp ya mkoa, hao ndio nawao husika na hayo mambo
 
Mwanao ana shida kama mwanangu the same issue… ila wangu ana miaka 3 bado hatembei haongei kwa kutambua anaongea anachojiskia… nimehangaika na mazoez ila bado… Mungu atusaidie changamoto ni kubwa sana😢
 
Mwanao ana shida kama mwanangu the same issue… ila wangu ana miaka 3 bado hatembei haongei kwa kutambua anaongea anachojiskia… nimehangaika na mazoez ila bado… Mungu atusaidie changamoto ni kubwa sana😢
Uko mkoa gani ? Pia usikate tamaa hiyo juhudi uliyonayo kuna siku utatabasamu !! Mtoto mwenye mahitaji maalumu anahitaji zaidi ukaribu wa watu na familia !

Kuna muda atatembea
 
Back
Top Bottom