somalilady
Member
- Mar 8, 2021
- 23
- 27
Nimeambiwa sana kuhusu CCBRT nna mpango nifike ili tuone atavyoendelea maana ni changamoto inayonitesa mno…Shukran piaOoho siku moja pia watembelee CCBRT hata Muhimbili wanajitahidi na wameokoa watoto wengi sana kwenye issue ya mazoezi ! Unaweza kulink hata na Daktari akakupa ratiba kulingana na umbali uliopo !