Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
salaaam
Serikali ya awamu ya tano chini ya hayati Magufuli ilikuja na watu wake lakini naona imeamua kuondoka nao wote mfano Mtu kama Musiba was front page every sinngle day aiseee!!! lakin piia namkumbuka sana Kasimu Majaliwa wa Magufuli he was very seriously Mwisho kuna Mwamba wa TAMISEMI ndugu Suleiman Jafo this guy deserve to be future president.
Mwamba Magufuli kaondoka na watu wake waliobakia ni copies za Jakaya Kikwete,so sad
Serikali ya awamu ya tano chini ya hayati Magufuli ilikuja na watu wake lakini naona imeamua kuondoka nao wote mfano Mtu kama Musiba was front page every sinngle day aiseee!!! lakin piia namkumbuka sana Kasimu Majaliwa wa Magufuli he was very seriously Mwisho kuna Mwamba wa TAMISEMI ndugu Suleiman Jafo this guy deserve to be future president.
Mwamba Magufuli kaondoka na watu wake waliobakia ni copies za Jakaya Kikwete,so sad