Kakole
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,094
- 1,747
Inaonekana una utaalam flani na mpangilio wa rangi madame.Dark blue top,green sandals na red pouch....asee wife to be nimependa uchaguzi wake wa rangi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana una utaalam flani na mpangilio wa rangi madame.Dark blue top,green sandals na red pouch....asee wife to be nimependa uchaguzi wake wa rangi...
Huwezi kuimba wimbo usioujua..Hii itakuwa ni tabia yako..Bazazi na nusu
Mitoko yako haielewekiTeh hunisomi na nini tena?
Siendi kokote mbona, Nikitoka basi Nipo na PauloMitoko yako haieleweki
mkuu mbona ulivaa kizembe sana church.Habari,
Kuna dada mmoja mkarimu na anaonekana mtaratibu mno namtafuta mazingira haya kuruhusu kupata contacts zake.
Tulikutana leo kanisani jumatano ya majivu....usharika flan lutheran nlichelewa kdgo nikaja nikaketi bench moja na ww (la pili kutoka mwisho kama sikosei)
Nilivaa shati mikono mifupi (a mix of blue & white ) wit dark blue jeans wit sandals. Jamani huyu mdada ki ukweli uongo dhambi ameniteka nikatokea kupendezwa nae na kutamani kuwasiliana nae zaidi na kujenga urafiki.
Ulivaa some sort of a dark blue shirt/top na green sandals...u have a samsung galaxy na a red pouch kwenye bench ulijifunga mtandio (a green one)...tukiwa church nikakusisitiza sanaa uchukue karatasi yenye mafunzo ya utoaji zaka na dhabihu (sadaka) but ukasema sio tatzo if ningebaki na ile karatasi tulizopewa church.
Daah kama upo huku nitafute plz. Nakumbuka uliniaga getini ukiwa unaondoka...nilitingwa na watu nikajikuta nashindwa kuchukua mawasiliano yako. Daamn !!!
Masikini ya Mungu hata jina hukuniambia...
Ok..Hapo sawaSiendi kokote mbona, Nikitoka basi Nipo na Paulo
Daah aisee mi ndio usharika wangu huo...im really praying ni meet nae tena. I dnt kno there is something special about that woman
ULIOGOPA Kuomba Namba Kwa UDOMO ZEGE Wako Matokeo Yake Unakuja Kutupa Shida Saa Hizi Watu Tumepumzika Hapa Baada Ya Kupiga Vitatu vya Fasta Kwa My Valentine HAPA.
Kwa Bwana not necessarily kuwe kanisani.mke mwema anatoka kwa bwana
Mke wa mtu huyo...