Namtafuta Huyu Dada...!!!

hahhaaha dah kwa kweli mana hata mie sikuamini kama ni yeye babra, mana sauti na mwonekano ni tofauti.
Aiseeee yan me nlibishana sana
Na washkaj zang kuwa co yy
Heee sasa kuja kumuona
Live escape one nliishiwa
Mpaka poz

Masaut wote uleeee

Lakin hee hee hakuna kitu
 
Kana Maneno Mengi sanaaa
Haa haa haa kama ulijua yan
Huyu ndo wale ukitupa
Ndoano badala aikataee
Kmy kmy anakuja kukuchamba
Mbele ya washkaji zako
 
Duh binadam tunatofautian sana... Still mediocre
 
Samahani mkuu maelezo yako yanakanganya kidogo...
Umesema humfahamu kwa jina, sura wala kazi yake ni sawa...
Ukaendelea kutiririka kuwa sauti yake huwa unaisikia cloudsm na clouds tv, sasa hapo ndo sijaelewa hiyo clouds tv kwako unaipata audio tu au imekaaje hii. Na pia inawezekana vp mtu unamsikia kwenye media kila siku afu unasema haujui kazi yake?
Kiwi cha macho [emoji15] [emoji15]
 
Jamani na mimi naombeni hata ka picha tu ka yule GIFT wa kipindi cha lala bye cha 93.7 EFM, Sauti yake huwa yanikosha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…