Waheshimiwa namtafuta mshikaji nilikuwa nae Chuo anaitwa Joseph Kahungwa. Nafahamu yupo USA lakini nimepoteza contacts zake yeyote mwenye kujua nampa anipenyezee kwenye PM
Mkuu huyu Joseph Kahungwa mtoto wa marehemu mzee Kahungwa wenye gust house mtaa wa Karuta Mwanza? kama ndie basi naomba ujibu ili nikutumie contact zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.