Namtafuta kaka Genta aseme neno kuhusu usajili

Namtafuta kaka Genta aseme neno kuhusu usajili

Mkalapa boy

Member
Joined
Aug 19, 2021
Posts
84
Reaction score
172
Habari wa bodi wa JF hususani wana michezo.

Moja kwa moja kwenye mada. Kaka GENTA uko wapi sioni maoni yako katika kipindi hiki Cha usajili klabu yetu(Simba) inasajili wachezaji wanaotoka vilabu vinavyoshuka daraja uko kimya Wala haukemei swala hili wewe ndiyo mtetezi na msema kweli pale mambo yanapokwenda hovyo jitokeze kaka tafadhali njoo kaka GENTA jirani anatutambia huku hatulali eti saa 6 usiku muda wa majini yy anatangaza wapya kweli msimu ujao tutapona kaka?

Njoo kaka GENTA tafadhali
 
Habari wa bodi wa JF hususani wana michezo.

Moja kwa moja kwenye mada. Kaka GENTA uko wapi sioni maoni yako katika kipindi hiki Cha usajili klabu yetu(Simba) inasajili wachezaji wanaotoka vilabu vinavyoshuka daraja uko kimya Wala haukemei swala hili wewe ndiyo mtetezi na msema kweli pale mambo yanapokwenda hovyo jitokeze kaka tafadhali njoo kaka GENTA jirani anatutambia huku hatulali eti saa 6 usiku muda wa majini yy anatangaza wapya kweli msimu ujao tutapona kaka?

Njoo kaka GENTA tafadhali
Mkuu syo lazima aje Genta iko hivi Simba baada ya msimu kuisha imeangalia wapi ilikosea kwenye ligi ya nyumbani Na kimataifa pia hivyo inaangalia uhitaji Wake syo ifanye usajili Kama kwa kukurupuka au kujaza wageni infact ni kwamba Simba ndo timu iliyoongoza kukusanya point home kuliko timu yoyote NBC premier league Simba katika mechi 15 za nyumbani imekusanya points 41 huku ikiacha points 4 tu lkn points 2 zikiwa za sare yeye Na yanga akifuatiwa Na yanga ambae yeye amekusanya points 39 Sasa hapo unaona kabisa Simba alifeli pakubwa mechi za ugenini hivyo anahitaji apate matokeo sehem zote ugenini Na nyumbani Sasa ndo maana unaona wanasajiliwa akina kyombo,kapama Na hata kichuya ili kutupatia matokeo mikoani then akina sakho watupe matokeo Dar Na kimataifa mkuu timu inasajili kulingana Na uhitaji syo mihemuko
 
Mkuu syo lazima aje Genta iko hivi Simba baada ya msimu kuisha imeangalia wapi ilikosea kwenye ligi ya nyumbani Na kimataifa pia hivyo inaangalia uhitaji Wake syo ifanye usajili Kama kwa kukurupuka au kujaza wageni infact ni kwamba Simba ndo timu iliyoongoza kukusanya point home kuliko timu yoyote NBC premier league Simba katika mechi 15 za nyumbani imekusanya points 41 huku ikiacha points 4 tu lkn points 2 zikiwa za sare yeye Na yanga akifuatiwa Na yanga ambae yeye amekusanya points 39 Sasa hapo unaona kabisa Simba alifeli pakubwa mechi za ugenini hivyo anahitaji apate matokeo sehem zote ugenini Na nyumbani Sasa ndo maana unaona wanasajiliwa akina kyombo,kapama Na hata kichuya ili kutupatia matokeo mikoani then akina sakho watupe matokeo Dar Na kimataifa mkuu timu inasajili kulingana Na uhitaji syo mihemuko
Naona imekuuma sana Mimi Kutajwa Mkuu. Pole sana ila nakushauri nawe jitahidi uwe na Mvuto wa Kiuwasilishaji na Kiuchambuzi hapa JamiiForums utapendwa, utakubalika na kutwa utakuwa unafuatiliwa kama Mimi hata kama ID yako ikiwa Banned sawa?
 
Back
Top Bottom