Namtafuta Linda Byaba...

RRONDO

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2010
Posts
55,727
Reaction score
123,094
Namtafuta Linda Byaba. Mara ya mwisho tulikutana East London, South Africa 2010. Kwa Dar aliniambia kwao Kimara. Kama upo humu njoo PM
 
Nazan itakuwa bado analinda Kimara
 
Namtafuta Linda Byaba. Mara ya mwisho tulikutana East London, South Africa 2010. Kwa Dar aliniambia kwao Kimara. Kama upo humu njoo PM
Unataka kumuoa baadala ya miss natafuta. Hatukuonyeshi ng'o
 
Namtafuta Linda Byaba. Mara ya mwisho tulikutana East London, South Africa 2010. Kwa Dar aliniambia kwao Kimara. Kama upo humu njoo PM


Ndo vyuma vimekaza brother!??
 
mara ya mwisho kumuona ilikuwa wakati wa bomoa bomoa sijajua sasa ivi wamehamia wapi mkuu
 
Irons are kazed aiseee..... Mbona kutafutana kumezidi.....
 
Haya tumeshajua ulikuwa South Africa
[emoji23][emoji23][emoji23]


Ngoja aje...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…