MsC In Mathematical&Computational Finance(Jomo Kenyata)Mkuu umepiga master ya nini? Samahani kwa swali hili sio kwa nia mbaya lakini.
Ahsante mkuu, hili linawezekana kwa kozi hizo maana ni za muda mfupi mfupi kwa age hiyoMsC In Mathematical&Computational Finance(Jomo Kenyata)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahsante mkuu, hili linawezekana kwa kozi hizo maana ni za muda mfupi mfupi kwa age hiyo
Tutor unahangaikaje jf wewe....#Nina miaka 26
#Masters degree holder
#Tutorial Assistant katika moja ya University hapa Tz
Namtafuta mchumba awe:
#charming person
#age 19-23
#Christian
#Awe humble
#Atleast awe na elimu hata kama level ndogo but atleast form 4
#Must be serious on a matter on hand, a dream runner, have an inner desire for a family growth.
#Nasisitiza awe serious lengo langu siyo kumbandua, ni uchumba na mioyo yetu ikimeet tufanye family..
#Kurya feminists are HIGHLY PROHIBITED!!
#Njoo Inbox
Haha Sijaelewa kituhaha utajua tu mokali mwiya! uni ndatuna ngotete!
Nani kaifunga wakati ipo waziunaniita pm mama wakat umefunga vioo mtoto mzuri
Sijaona bado text yako, npo kwny vigezo vyake hahhaa ila nshachukuliwanime kutext honey
vipi umo kwenye vigezo vya mtoa mada? kuanzia umri mpaka elimu?
Eeh hauoni hapa ni public ?bas naandika namba yangu hapa unibip!
Wa vyuoni wapo booked mkuu labda upate bahati.Bwana TA umekosa kabisa hapo chuoni?
Unatafuta mtu wakati umeficha jinalako na sura na hujulikani unataka wakuamini VP?#Nina miaka 26
#Masters degree holder
#Tutorial Assistant katika moja ya University hapa Tz
Namtafuta mchumba awe:
#charming person
#age 19-23
#Christian
#Awe humble
#Atleast awe na elimu hata kama level ndogo but atleast form 4
#Must be serious on a matter on hand, a dream runner, have an inner desire for a family growth.
#Nasisitiza awe serious lengo langu siyo kumbandua, ni uchumba na mioyo yetu ikimeet tufanye family..
#Kurya feminists are HIGHLY PROHIBITED!!
#Njoo Inbox
That's very true kaka, though hatuzingatii sana hiyo issue ya booking but chuoni risk probability inakuwa juu sana...to acquire/ come across the REAL ONE is almost an "IMPOSSIBLE BETTING".. Alot of chicks and SLAY QUEENS...still naamini naeza pata REAL QUEEN humuhumu JFWa vyuoni wapo booked mkuu labda upate bahati.
Ila nakumbuka story ya jamaa mmoja alipokonywa tonge mdomoni na seminar leader.
Kumbuka wewe jina lako ni "Kuku mdogo" lakini bado tunakuamini na ku-socialize na wewe humu JF since 2011..ni imani ipi zaidi unayotaka toka kwa binadamu zaidi ya hii waliyokupa ya kuwasiliana na wewe "kuku mdogo"??Unatafuta mtu wakati umeficha jinalako na sura na hujulikani unataka wakuamini VP?
Wewe acheni kuwaingiza mkenge watoto wa watu ili mkawatoe viungo vyao. Ukifikia atua ya kutaka mchumba jivue Gamba lako na uwe halisi ili uaminike.Kumbuka wewe jina lako ni "Kuku mdogo" lakini bado tunakuamini na ku-socialize na wewe humu JF since 2011..ni imani ipi zaidi unayotaka toka kwa binadamu zaidi ya hii waliyokupa ya kuwasiliana na wewe "kuku mdogo"??
Okay uko entitled na opinion yako na so it is never good kukupinga KUKUMDOGO...blessings👏👏👏Wewe acheni kuwaingiza mkenge watoto wa watu ili mkawatoe viungo vyao. Ukifikia atua ya kutaka mchumba jivue Gamba lako na uwe halisi ili uaminike.
Noted👍👍Tutor unahangaikaje jf wewe....
Kamata denti la chuo hapo... Aliyepiga GPA ya 4.4 - 5.
Hawa akina miss natafuta watakuua bwana mdogo... Hawa tuachie sisi mangariba tusioogopa mikojo.