Namtafuta mchumba wa kike

Namtafuta mchumba wa kike

#Nina miaka 26
#Masters degree holder
#Tutorial Assistant katika moja ya University hapa Tz

Namtafuta mchumba awe:

#charming person
#age 19-23
#Christian
#Awe humble
#Atleast awe na elimu hata kama level ndogo but atleast form 4
#Must be serious on a matter on hand, a dream runner, have an inner desire for a family growth.
#Nasisitiza awe serious lengo langu siyo kumbandua, ni uchumba na mioyo yetu ikimeet tufanye family..
#Kurya feminists are HIGHLY PROHIBITED!!
#Njoo Inbox
Tutor unahangaikaje jf wewe....
Kamata denti la chuo hapo... Aliyepiga GPA ya 4.4 - 5.

Hawa akina miss natafuta watakuua bwana mdogo... Hawa tuachie sisi mangariba tusioogopa mikojo.
 
Tutorial Assistant umashindwaje kudeal na wanafunzi au we domo zege
 
nime kutext honey
vipi umo kwenye vigezo vya mtoa mada? kuanzia umri mpaka elimu?
Sijaona bado text yako, npo kwny vigezo vyake hahhaa ila nshachukuliwa
 
#Nina miaka 26
#Masters degree holder
#Tutorial Assistant katika moja ya University hapa Tz

Namtafuta mchumba awe:

#charming person
#age 19-23
#Christian
#Awe humble
#Atleast awe na elimu hata kama level ndogo but atleast form 4
#Must be serious on a matter on hand, a dream runner, have an inner desire for a family growth.
#Nasisitiza awe serious lengo langu siyo kumbandua, ni uchumba na mioyo yetu ikimeet tufanye family..
#Kurya feminists are HIGHLY PROHIBITED!!
#Njoo Inbox
Unatafuta mtu wakati umeficha jinalako na sura na hujulikani unataka wakuamini VP?
 
Wa vyuoni wapo booked mkuu labda upate bahati.

Ila nakumbuka story ya jamaa mmoja alipokonywa tonge mdomoni na seminar leader.
That's very true kaka, though hatuzingatii sana hiyo issue ya booking but chuoni risk probability inakuwa juu sana...to acquire/ come across the REAL ONE is almost an "IMPOSSIBLE BETTING".. Alot of chicks and SLAY QUEENS...still naamini naeza pata REAL QUEEN humuhumu JF
 
Unatafuta mtu wakati umeficha jinalako na sura na hujulikani unataka wakuamini VP?
Kumbuka wewe jina lako ni "Kuku mdogo" lakini bado tunakuamini na ku-socialize na wewe humu JF since 2011..ni imani ipi zaidi unayotaka toka kwa binadamu zaidi ya hii waliyokupa ya kuwasiliana na wewe "kuku mdogo"??
 
Kumbuka wewe jina lako ni "Kuku mdogo" lakini bado tunakuamini na ku-socialize na wewe humu JF since 2011..ni imani ipi zaidi unayotaka toka kwa binadamu zaidi ya hii waliyokupa ya kuwasiliana na wewe "kuku mdogo"??
Wewe acheni kuwaingiza mkenge watoto wa watu ili mkawatoe viungo vyao. Ukifikia atua ya kutaka mchumba jivue Gamba lako na uwe halisi ili uaminike.
 
Wewe acheni kuwaingiza mkenge watoto wa watu ili mkawatoe viungo vyao. Ukifikia atua ya kutaka mchumba jivue Gamba lako na uwe halisi ili uaminike.
Okay uko entitled na opinion yako na so it is never good kukupinga KUKUMDOGO...blessings👏👏👏
 
Tutor unahangaikaje jf wewe....
Kamata denti la chuo hapo... Aliyepiga GPA ya 4.4 - 5.

Hawa akina miss natafuta watakuua bwana mdogo... Hawa tuachie sisi mangariba tusioogopa mikojo.
Noted👍👍
 
Back
Top Bottom