Namtafuta mfugaji wa bata wa aina yoyote ndani ya Manispaa ya Morogoro

Namtafuta mfugaji wa bata wa aina yoyote ndani ya Manispaa ya Morogoro

blacksamurai

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2019
Posts
387
Reaction score
646
Habari, ningependa kufahamu kama kuna mfugaji wa bata wa aina mbalimbali ndani ya manispaa ya Morogoro.

Kama yupo, tuwasiliane niende nikamtembelee anapofugia na nitanunua bata kwake. Nimeanza ufugaji wa bata, kwa hiyo nahitaji bata wa kuanzia (si bure nitanunua tukikubaliana bei) kutoka sehemu tofauti lakini ndani ya manispaa ya Morogoro.

Bata ninaohitaji ni hawa wa kawaida(kienyeji), perkin na mzinga pia.
 
Check huyu jamaa 0688603346 yuko nje ya mji Turian, ila bei zake ni rafik sana
 
Miaka ya 2015 kulikuwa na dogo wa kiarabu alikuwa anafuga Bata bukini (geese). Nilienda akaniuzia mayai. Alikuwa amejenga nyuma ya kiwanda Cha ngozi, sijui jina la mtaa Mimi si mzoefu wa Morogoro
 
Back
Top Bottom