namtafuta mmu member awe mume wangu

Duh!! BAHATI kwangu! Sifa zote mm ninazo na nyingine 1 ya ziada, yaani "issue" yangu ni sem-treiller!! Hapo vp?? Alafu Bebii ile njia yako uliotumia mwanzoni ya vacancy application haikufanikiwa nini ndo umeamua leo kuja mzima-mzima!!??
 
Hapo kwenye Red ndiyo nimegundua kuwa UNAFANYA MZAHA KUJUMLISHA NA UTANI !!!!
kipi cha ajabu mkuu, mbona wanaume wengi wanaolewa au kuoa? ila no 10 naona huna maksi
 
Bebii kuhusu kabila vipi,kuna jamaa yangu mkurya anatafuta mtu
 

hahahahahahaha mkuu umenikwatua mbavu zangu,ila ungemalizia tu kuwa wewe ni bingwa wa kulilia mapenzi.
 
mmmmmmmmmh kazi hapo?
 
Jamani bebii anamtafuta mmu awe muwe wake, kuna mtu humu anaitwa mmu!!
 
Mi hzo sifa ninazo ila bahati nzuri sana sihitaji mtu kwa sasa.
Pole!
 
hahahahahahaha mkuu umenikwatua mbavu zangu,ila ungemalizia tu kuwa wewe ni bingwa wa kulilia mapenzi.

Yaani mkuu unaongezea kabisa sijui perfume wala ndugu zake na perfume
harufu kama ya beberu
na kuoga mpaka kuwe na sikukuuu
 
daaah hata uraia wako huujui mkuu nikusaidieje sasa?

Sasa kama nilizaliwa kichakani sijui kwenye mpaka wa tanzania na kenya wakati mama akiwakimbia askari sijui wa nchi gani sasa nisemeje au uraia wangu ni wa wapi maana sijui kile kichaka kipo kenya au tanzania
 

Umesahau kitu muhimu kuliko yote hapo juu, AWEZE KUKUPATIA CHAKULA CHA KUTOSHA CHA NDOA
 
Unajua nilikuwa najiuliza kwanini uliamua kuniacha, naw i know why na kama ndio hivi natangaza rasmi nabwaga manyanga chini...........pwaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…