namtafuta mmu member awe mume wangu

namtafuta mmu member awe mume wangu

jamani kutokana na ushauri wenu wana jamvi na mimi nimeamua nimtafute mwenza hapa rafiki nilikosa maana kipengele cha kutongonoka kiliwashinda naona tu nitafute mwenza

(A)sifa za nimtakae
1 awe mkiriso-aambatanishe cheti cha ubatizo komunio na kipaimara

2awe na miaka 30-34- aambatanishe birth certificate

3mtanzania- weka passport

4 awe HIV negative-cheti cha angaza pia tutaenda kupima tena

5 awe na maisha yanayoeleweka loh

6asiwe mlevi wala mvuta bangi,unga,au sigara-tutaenda hosp dokta asibitishe

7 awe anajiamini

8awe mpenzi wa simba na arsenal


9 asiwe amewai kuoa au kuolewaau kuacha ama kuachika

10 awe mjanja awe na upeo wa kujua mambo

11 awe na mvuto loh? sio sura kama umelipuliwa na baruti za bengazi loh

12 awe na moyo wa upendo ,ukweli,huruma,uvumilivu,utu wema na kusamehe

13 nitaendelea kesho

(b) sifa zangu nimechoka nakuja sasa hv subirini hapa hapa

Punguza vigezo vyako, vinginevyo utaona miaka inakatika tu halafu uanze kukata tamaa na maisha huku ile biological clock ikizidi kukuweka roho juu kwa kulia tik tok tik tok
 
Hii imepita kushoto maana sio mpenzi wa mpira kabisa
 
Duh, vigezo Kama vile unataka sifa za mgombea urais! Napenda nikuonye: 'ze mo za komplikeshen za mo za devieshen' mapenzi hayahitaji chet cha komunyo.birth certifcte,paspot n.k. Kwani mkitaka ku-du mnaverify vyeti? Acha ujinga mchumba mtarajiwa!
 
We binti ndio maana hata rafiki ulikosa na kwa masharti haya hupati Mwenza wala Mwanza sio hapa tu hata dunia nzima,loh! mtoto wakike una visa weye.
jamani kutokana na ushauri wenu wana jamvi na mimi nimeamua nimtafute mwenza hapa rafiki nilikosa maana kipengele cha kutongonoka kiliwashinda naona tu nitafute mwenza

(A)sifa za nimtakae
1 awe mkiriso-aambatanishe cheti cha ubatizo komunio na kipaimara -??

2awe na miaka 30-34- aambatanishe birth certificate -wa miaka 35 hafai ?

3mtanzania- weka passport -wengine hawajasafiri kwahiyo hawana passport.

4 awe HIV negative-cheti cha angaza pia tutaenda kupima tena -utaletewa cheti cha angaza na mulika pia na siku ya kupima utachezewa bonge la muvi.

5 awe na maisha yanayoeleweka loh -ungetuambia tafsiri yako ya maisha ya kueleweka,kuna jamaa anaitwa bonge pale faya mataa anauza maji/juisi barabarani ana nyumba Kibamba sasa kwa tafsiri yake ana-quilify ?

6asiwe mlevi wala mvuta bangi,unga,au sigara-tutaenda hosp dokta asibitishe -namba 6 na 10 zinapingana huwezi kuwa hutumii vyote hivi halafu ukawa mjanja hapa mujini lol!

7 awe anajiamini -hapa pia tafsiri yako inahitajika,kuna kujiamini flani wengine huona kiburi.

8awe mpenzi wa simba na arsenal -akiwa Yanga na Arsenal ?


9 asiwe amewai kuoa au kuolewaau kuacha ama kuachika -sikujua kama unatafuta mwenza aliyewahi kuolewa/achika hahaha!

10 awe mjanja awe na upeo wa kujua mambo -hawezi kuwa mjanja kama havuti/hanywi.

11 awe na mvuto loh? sio sura kama umelipuliwa na baruti za bengazi loh -tafsiri yako inahitajika hata marehemu Ongala kuna mwanamke wa kidhungu alimwona handsome lol!

12 awe na moyo wa upendo ,ukweli,huruma,uvumilivu,utu wema na kusamehe -hizi zote sio rahisi kupatikana kwa mwanamme mmoja.

13 nitaendelea kesho -wala usirudi tena hapa jaribu sayari nyingine.

(b) sifa zangu nimechoka nakuja sasa hv subirini hapa hapa
Umeweka mahitaji yako na kutotaja sifa zako tayari tunahisi we ni mtu wa aina gani.
 
mimi ni mshabiki wa JKT RUVU na pia EVERTON ya UINGEREZA pia sijawahi kuoa!! alafu sina uvumilivu wala sijui kupenda pia navuta bangi na ni mlevi wa mnazi!! alafu navuta pia sigara nyota kama nikiwa na hela kama sina huwa navuta za kujisokotea mwenyewe alafu nakula ugoro kama utarizika na wasifu wangu nitafute 0711989798
 
amebadili na jina huenda anataka kupunguza masharti
 
dah..mwenye sifa zote hizi akipatikana ujue Yesu amerudi. nakuomba unipe nafasi mimi maana kuna sifa namba 11, 4, na 6 ninazo
 
Mods Samahani kama nitakua nafanya "name calling",
Bebii = Smile?????
 
jamani kutokana na ushauri wenu wana jamvi na mimi nimeamua nimtafute mwenza hapa rafiki nilikosa maana kipengele cha kutongonoka kiliwashinda naona tu nitafute mwenza

(A)sifa za nimtakae
1 awe mkiriso-aambatanishe cheti cha ubatizo komunio na kipaimara

2awe na miaka 30-34- aambatanishe birth certificate

3mtanzania- weka passport

4 awe HIV negative-cheti cha angaza pia tutaenda kupima tena

5 awe na maisha yanayoeleweka loh

6asiwe mlevi wala mvuta bangi,unga,au sigara-tutaenda hosp dokta asibitishe

7 awe anajiamini

8awe mpenzi wa simba na arsenal


9 asiwe amewai kuoa au kuolewaau kuacha ama kuachika

10 awe mjanja awe na upeo wa kujua mambo

11 awe na mvuto loh? sio sura kama umelipuliwa na baruti za bengazi loh

12 awe na moyo wa upendo ,ukweli,huruma,uvumilivu,utu wema na kusamehe

13 nitaendelea kesho

(b) sifa zangu nimechoka nakuja sasa hv subirini hapa hapa
Yanga na Man U,
Inaonekana we kicheche halafu unajua kuomba kumba msamaha so unatafuta ***** litakaloweza kukuelewa pale litakapo kubamba.
 
Back
Top Bottom