namtafuta mmu member awe mume wangu

namtafuta mmu member awe mume wangu

Sifa bainishwa ni nyingi,

Nahic ninazo, isipokuwa hiyo ya 8.

Sasa sijui bebii utaridhia?
 
jamani kutokana na ushauri wenu wana jamvi na mimi nimeamua nimtafute mwenza hapa rafiki nilikosa maana kipengele cha kutongonoka kiliwashinda naona tu nitafute mwenza

(A)sifa za nimtakae
1 awe mkiriso-aambatanishe cheti cha ubatizo komunio na kipaimara

2awe na miaka 30-34- aambatanishe birth certificate

3mtanzania- weka passport

4 awe HIV negative-cheti cha angaza pia tutaenda kupima tena

5 awe na maisha yanayoeleweka loh

6asiwe mlevi wala mvuta bangi,unga,au sigara-tutaenda hosp dokta asibitishe

7 awe anajiamini

8awe mpenzi wa simba na arsenal


9 asiwe amewai kuoa au kuolewaau kuacha ama kuachika

10 awe mjanja awe na upeo wa kujua mambo

11 awe na mvuto loh? sio sura kama umelipuliwa na baruti za bengazi loh

12 awe na moyo wa upendo ,ukweli,huruma,uvumilivu,utu wema na kusamehe

13 nitaendelea kesho

(b) sifa zangu nimechoka nakuja sasa hv subirini hapa hapa
nina sifa zote kama ulivyoainisha,ingawa wewe haujataja wewe ukoje,mi sifa ya wewe uwe nami ni moja tu,uwe bikira basi
 
ndio bwana kwa sababu mwenza unatakiwa upate katika mazingira unayoishi either kanisani ,kazini au mtaani nk
kanisani nimekosa
kazini sipendi mtu naefanya nae
mtaani nimekosa eneo nililobakisha ni humu tu ndo maana nikaja hapa boss
ukifikisha miaka 40 najua hizo sifa utazipunguza na kubaki moja tu ambayo nayo itakuwa ni mpya nayo ni
1.awe mwanaume
 
nikimpata sirudi tena loh?
umekuwa mkweli maana utakuwa umekipata ulichofuata
Join Date : 18th July 2011
Posts : 1,975
Rep Power : 24

hata kanisani ulipokosa haukurudi tena,dah hii kazi kweli ila ukifanikiwa toa shukurani kwa jf,kwahiyo utarudi facebook ama?
 
una kilo ngapi? mmmmh huo mwili?
mbona hii sifa haikuwepo au ndo unaendelea ulipoishia siku ile ya kwanza?
kazi ipo mwaka huu,ngoja nikaangalie exchange rate nisijeshindwa kulipia modem yangu nikakosa uhondo wa humu ndani mmu
 
Lizzy,love connect wanarusha uzi watu ambao kweli serious wanatafuta wenza,uzi huu wa Bebii hapa ndp pahala pake maana basically anafurahisha baraza,wewe are you taking this tangazo seriously? mpaka leo hujamjua Bebii?dawa yake huyu nshamwambia ni kumchapa tu.
apeleke kwenye jokes au ugeni bado haujaisha, muelekezeni cha kufanya!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwenye RED................ JF haina wa dizaini hiyo.
kumbe wanataja sifa kibao wakati kumbe akija na kusema sifa ni moja tu ya ubikira wote siko hiyo watakuwa na udhuru na hawataonekana humu mmu
 
Sina sifa hata moja hapo juu ila nifikirie angalau tutembee mara moja!
 
4n no plz.. mbona mnakua wasaulifu cna au mpaka 2let bakora hum ndan?
 
jamani kutokana na ushauri wenu wana jamvi na mimi nimeamua nimtafute mwenza hapa rafiki nilikosa maana kipengele cha kutongonoka kiliwashinda naona tu nitafute mwenza

Hapo nimekosa mke, kipengere namba 8 kimenishinda. Sipendi kuishi maisha ya presha na vidonda vya tumbo mie kuipenda arsenal.

(A)sifa za nimtakae
1 awe mkiriso-aambatanishe cheti cha ubatizo komunio na kipaimara

2awe na miaka 30-34- aambatanishe birth certificate

3mtanzania- weka passport

4 awe HIV negative-cheti cha angaza pia tutaenda kupima tena

5 awe na maisha yanayoeleweka loh

6asiwe mlevi wala mvuta bangi,unga,au sigara-tutaenda hosp dokta asibitishe

7 awe anajiamini

8awe mpenzi wa simba na arsenal


9 asiwe amewai kuoa au kuolewaau kuacha ama kuachika

10 awe mjanja awe na upeo wa kujua mambo

11 awe na mvuto loh? sio sura kama umelipuliwa na baruti za bengazi loh

12 awe na moyo wa upendo ,ukweli,huruma,uvumilivu,utu wema na kusamehe

13 nitaendelea kesho

(b) sifa zangu nimechoka nakuja sasa hv subirini hapa hapa

Kwa simba umenipata ila arsenal, naogopa kufa kwa presha na vidonda vya tumbo mie. Kifupi umenikosa kuwa mme wako!
 
mh! vigezo vingi punguza kidogo! but hata awe na vigezo vyote hivyo kuna mtkayopishana lazima binaadamu
 
kuwa shabiki wa simba au Arsenal hapo hunipati
Kweli duniani kuna watu na viatu aliimba mdada mmoja, ukiangalia hii thread kwa umakini utagundua kuwa kuna mdhaha mkubwa ndani yake, mana sifa zote unazotaka haizekani katika hari ya kawaida kuwa kwa mtu mmoja. Pia sifa zingine ni suajective inategemea wewe unazitafasiri vp! Mfano wa kuwa na mvuto, kizazi cha leo mvuto wana taka uwe mtu wa swaga, kimavazi na maisha yako yote, kizazi cha hapo kati wao walitaka mtu ili awe na mvuto basi apige panki na jeans na T-shirt, zamani ili uonekane na mvuto basi tupia dingizi au suruali pima kiuno tu chini maliza kitambaa chote, rise-on na T-shirt ya kubana, pia kipengele cha upendo, je umeweka benchmark au SI unit ya kupima upendo ili tujilinganishe na upendo gani unaoongelea?
My take:At your age i am sure you still have alot of illusion to dream but on the ground it is next to impossible to get all what you dream about!! Chose the best out of what is at your reach. Thnx have a good day
 
Mi sifa zote hizo ninazo. Ila nawe naomba nikukute na sifa moja tu. UWE BIKRA ILI NIFUNGUE SEAL MIMI MWENYEWE. Tutaenda kupima hilo ili nithibitishe kwani siku hizi zipo za kutengeneza. Kama sifa hii unayo,ni pm ili tuanze mawasiliano mara moja.
 
bado hujapata mtu mwenye hata nusu ya vigezo vako? Punguza makali ya vigezo, legeza watakuja.
 
Mi sifa zote hizo ninazo. Ila nawe naomba nikukute na sifa moja tu. UWE BIKRA ILI NIFUNGUE SEAL MIMI MWENYEWE. Tutaenda kupima hilo ili nithibitishe kwani siku hizi zipo za kutengeneza. Kama sifa hii unayo,ni pm ili tuanze mawasiliano mara moja.
hapo kwenye red hawezi hata kuthubutuDownload
 
Back
Top Bottom