Namtafuta mwalimu wa kunifundisha kupiga Kinanda Arusha

Namtafuta mwalimu wa kunifundisha kupiga Kinanda Arusha

Moles_OG

Member
Joined
Aug 25, 2015
Posts
24
Reaction score
24
Habari za muda huu ndugu zangu, namtafuta mwalimu wa kunifundisha kupiga kinanda Arusha, akiwa maeneo ya mjini itakuwa vizuri zaidi, lakini pia akiwa nje ya mji sio mbaya. Kama upo au kuna shule maalum kwa ajili ya kufundisha kupiga vyombo vya muziki, naombeni mniunganishe na muhusika au mawasiliano ya kituo husika.

Kuhusu malipo tutakubaliana vivyo hivyo kwa muda wa darasa. Asante
 
Mimi niko tayari ila tutafanya online, mana niko Sumbawanga 😎. malipo kwanza.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 we jamaa au andaa kabisa usafiri wa kwenda na kurudi Sumbawanga kila siku maana mnayo teknolojia yenu ya kipekee
 
Ungekuwa huku niliko, kuna jamaa yangu angekufundisha bure tu. Anapiga kinanda kama hana akili nzuri vile!

Kama vile vyenye pedal chini ndiyo kabisaa!!
 
Habari za muda huu ndugu zangu, namtafuta mwalimu wa kunifundisha kupiga kinanda Arusha, akiwa maeneo ya mjini itakuwa vizuri zaidi, lakini pia akiwa nje ya mji sio mbaya. Kama upo au kuna shule maalum kwa ajili ya kufundisha kupiga vyombo vya muziki, naombeni mniunganishe na muhusika au mawasiliano ya kituo husika.

Kuhusu malipo tutakubaliana vivyo hivyo kwa muda wa darasa. Asante

Wasiliana na huyu atakusaidia: 0769420469
 
Itakuwa fresh mkuu, ninapokaa na moshono ni karibu sana
+255764654266 jina Elisha, ni mwalimu wa muziki kanisa la Mchungaji Vomo.
Pili ana studio, jina Elisha, kijana toka Mbeya..Mnyiha
 
Back
Top Bottom