Namtafuta mwanafunzi wa kupanga nae chumba


KAPANGE NA VANDAMME AU ARNOLD SHWAZNEGA...mana hao mtaenda sawa
 
Teh teh teh! Mbona introduction ina mikwala kias hicho
 
Nipe mawasiliano yako,nnapenda watu kama nyinyi
 
Kuna jamaa yng mmoja mkimya sana yuko apo nitamwambia akutafute. Ila ye ashawai kuua
 
VIP ingineering mtakatifu rugemarira mzee wakugawa mihela kama njugu mawe na Tibaijuka mama Wa Tuhela TWA mboga uwe bodigadi wao maana nyie wahaya mnajuana
 

kama wa kikee sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…