Uchunjuba Punjubi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 799
- 622
Music biashara mkuu hasa kwa siku hizi, hao unaosema unawaimbia mbona hawanunui au kusikiliza nyimbo zinazowasemea wako busy kusikiliza nyimbo za starehe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti Kanali mstaafu [emoji6][emoji6][emoji6] hyo IDKupeleka redioni ni kuzinguana na watu tu.....huwa nataman nifanye ngoma kali ya ki-hardcore yenye mesej ya maana na chupa la kinyamwez ila walioshika remote ya mainstream ndio wachawi wa underground Hip hop genre ambayo ni pure based on social liberation.