Mkulu wawe
Member
- Mar 4, 2020
- 87
- 111
Kama huyu rafiki yangu yuko humu tafadhari nimtumie namba yako PM
Nakutafta sana
Nakutafta sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo hapa za sikh nyingi rafiki yangu mkuluKama huyu rafiki yangu yuko humu tafadhari nimtumie namba yako PM
Nakutafta sana
Nipo hapa za sikh nyingi rafiki yangu mkulun
Nitumie namba yako PM tafadhariNipo hapa za sikh nyingi rafiki yangu mkulu
sawa rafikiNitumie namba yako PM tafadhari
Naona unafurahia kunizingua mkuu, rafiki yangu hajaoa ko possibly sio weweNipo hapa za sikh nyingi rafiki yangu mkulu
Ungedokeza kidogo mazingira mlopotezana kwani mtu kama huyu anaweza kuwa zaidi ya mmoja hasa maeneo ya upareni(Mbaga,Vudee na Chome)Kama huyu rafiki yangu yuko humu tafadhari nimtumie namba yako PM
Nakutafta sana
Mbanzingwa lkn tumezoea kumwita hvo kama unamjua niunganishe naeNi Mbazingwa au Mbazi?
Dodoma mkuuUngedokeza kidogo mazingira mlopotezana kwani mtu kama huyu anaweza kuwa zaidi ya mmoja hasa maeneo ya upareni(Mbaga,Vudee na Chome)
Mbazingwa mkiramwene ,mrefu mwembamba... kwao mbeya,simike.kichwani alikua good class,kama ni huyo kuna watu wanaweza nipatia.Mbanzingwa lkn tumezoea kumwita hvo kama unamjua niunganishe nae
Sio huyo mkuuMbazingwa mkiramwene ,mrefu mwembamba... kwao mbeya,simike.kichwani alikua good class,kama ni huyo kuna watu wanaweza nipatia.