Babu Kijana
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 587
- 276
Nafahamu aliolewa na mara ya mwisho alikuwa na mtoto tayari, ila lengo la kumtafuta halina ubaya sio kwa lengo la mapenziAlishaolewa huyo!
Ohooo vimeumana hukuu😀 wote mtakua mababu tu hamna jinsiMi babukijana we umetoka wapi tena?
Mods 🤔
hapanaAliwahi kufanya kazi Akiba bank?
haa haaa ni kama kigogo pia wapo wengiMi babukijana we umetoka wapi tena?
Mods 🤔
Basi wanafanana tu majinahapana
Sina uhakika jina analotumia ukisearch wanakuja wengiEmbu jaribu kumsaka Facebook pia
Huyu alikuwa Bcom. Sio Chemistry. Anayetakiwa hapa ni wa Chem.Aliwahi kufanya kazi Akiba bank?
Duh! Kumbe watu wa humu wanafahamiana bila kujijua!!?Huyu alikuwa Bcom. Sio Chemistry. Anayetakiwa hapa ni wa Chem.
Eti vimeumana ......hahahahaaaaaaOhooo vimeumana hukuu[emoji3] wote mtakua mababu tu hamna jinsi
Na bado hatujaumana na wewe sasa😀😀Eti vimeumana ......hahahahaaaaaa
Yep. Ukishakuwa senior citizen u happen to know lot more people.Duh! Kumbe watu wa humu wanafahamiana bila kujijua!!?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na bado hatujaumana na wewe sasa[emoji3][emoji3]
Yes of course and I really appreciate itYep. Ukishakuwa senior citizen u happen to know lot more people.