Namtafuta rafiki yangu mzanzibar Wahida Mohammed (Entry UDSM 2006)

Namtafuta rafiki yangu mzanzibar Wahida Mohammed (Entry UDSM 2006)

Nahisi kama nakujua[emoji1787][emoji1787],kwa kweli katika entry iliyomaliza mwaka ule Wahida peke yake ndo kajificha sana anyway ukimpata tustuane,ila nasikia anafanya kazi kwa mkemia mkuu Zanzibar embu funga safari unaweza kupata more details pale.
 
Namtafuta dada yangu huyu na rafiki yangu kipenzi Wahida Mohamed alisoma pale udsm tulianza mwaka 2006 akisomea Chemistry, mara ya mwisho kuwasiliana nae 2013 alikuwa akifanya kazi/intern pale ZBS, zanzibar. Kama akiiusoma uzi huu tafadhali tuwasiliane inbox. Au yeyote mwenye kufahamu na mawasiliano yake tuwasiliane.
Wacheki hao ZBS wakupe mawasiliano
 
Nahisi kama nakujua[emoji1787][emoji1787],kwa kweli katika entry iliyomaliza mwaka ule Wahida peke yake ndo kajificha sana anyway ukimpata tustuane,ila nasikia anafanya kazi kwa mkemia mkuu Zanzibar embu funga safari unaweza kupata more details pale.
Hata mie nakufahamu si ulikuwa unasoma zoology? 🙄 😀
 
Back
Top Bottom