We financial services mimi navyoogopa hata kuumwa na kiroboto tu!, asa sijui wewe tukiumana itakuwaje et? Au labda sijui huko kuumana tunakuwa tunaumanaje umanaje labda unieleweshe.....ahahahahaaaaaaaaaNa bado hatujaumana na wewe sasa[emoji3][emoji3]
Hamna,huyo dogo tu Mi babu yake tutandika mkeka mambo yataenda sawa πOhooo vimeumana hukuuπ wote mtakua mababu tu hamna jinsi
Wacheki hao ZBS wakupe mawasilianoNamtafuta dada yangu huyu na rafiki yangu kipenzi Wahida Mohamed alisoma pale udsm tulianza mwaka 2006 akisomea Chemistry, mara ya mwisho kuwasiliana nae 2013 alikuwa akifanya kazi/intern pale ZBS, zanzibar. Kama akiiusoma uzi huu tafadhali tuwasiliane inbox. Au yeyote mwenye kufahamu na mawasiliano yake tuwasiliane.
Hata mie nakufahamu si ulikuwa unasoma zoology? π πNahisi kama nakujua[emoji1787][emoji1787],kwa kweli katika entry iliyomaliza mwaka ule Wahida peke yake ndo kajificha sana anyway ukimpata tustuane,ila nasikia anafanya kazi kwa mkemia mkuu Zanzibar embu funga safari unaweza kupata more details pale.
Huna mawasiliano yake?Yupo Oman kwa saaasa
Unawafahamu Wana JF wewe? Wanaakili mbili mbili Kama JKDuh! Kumbe watu wa humu wanafahamiana bila kujijua!!?
Hapana siwezi kukupa namba ya mke wanguHuna mawasiliano yake?
Wala sikuwa huko nilikuwa na huyo huyo Wahida wako[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hata mie nakufahamu si ulikuwa unasoma zoology? π π
Babukijana toka mwaka 1999 sijabadili mpaka leo huyu katoka wapi?Ohooo vimeumana hukuuπ wote mtakua mababu tu hamna jinsi
Wahida niko nae wala usijali hayupo Oman wala wapi, tafuta hela kwanza ukipata namletaHuna mawasiliano yake?