Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Mwandiko mbaya, majigambo yasiyo na mantiki, ataona kuwa jamaa ni mtu ambaye hana ustaarabu.Kwa nini?πππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwandiko mbaya, majigambo yasiyo na mantiki, ataona kuwa jamaa ni mtu ambaye hana ustaarabu.Kwa nini?πππππ
Ukimbana atakwambia si yeye bali alitumwa tu aandike.πππππMwandiko mbaya, majigambo yasiyo na mantiki, ataona kuwa jamaa ni mtu ambaye hana ustaarabu.
AlishaolewaMiaka mingi imepita, tulikutana jijini Dar tukiwa wanafunzi mimi nilikuwa Airwing, yeye alikuwa kama sikosei Kibasira kama sio itakuwa zanaki au jangwani kati ya shule hizo.
Tulipotezana tulipo maliza o level yeye alichaguliwa kama sikosei ni jangwani au zanaki.
Mimi nikatupwa Azaboy shule la wazee wenye vipaji vyao,wewe unae soma haoa kama ukusoma shule za vipaji miaka hiyo jua ulikuwa KILAZA tu hata kama sasahiv upo juu kimaisha ila still wewe ni KILAZA.
Kilichotutenganisha ni iki yeye alichagukiwa kombi nasema kombi sjui mpaka leo mwaita hivyo?tofauti na yangu popote alipo anae mjua amwambie rafiki yako sifi leo anakutafta nikusalimu tu best yangu- nmekumbuka jinsi tulivyokuwa tunafundishana BOOK KEEPING aise Mungu akubariki popote ulipo ila njoo nikusalimu.
Enzi zenu neno kipaji lilikuwa na maana gani?Miaka mingi imepita, tulikutana jijini Dar tukiwa wanafunzi mimi nilikuwa Airwing, yeye alikuwa kama sikosei Kibasira kama sio itakuwa zanaki au jangwani kati ya shule hizo.
Tulipotezana tulipo maliza o level yeye alichaguliwa kama sikosei ni jangwani au zanaki.
Mimi nikatupwa Azaboy shule la wazee wenye vipaji vyao,wewe unae soma haoa kama ukusoma shule za vipaji miaka hiyo jua ulikuwa KILAZA tu hata kama sasahiv upo juu kimaisha ila still wewe ni KILAZA.
Kilichotutenganisha ni iki yeye alichagukiwa kombi nasema kombi sjui mpaka leo mwaita hivyo?tofauti na yangu popote alipo anae mjua amwambie rafiki yako sifi leo anakutafta nikusalimu tu best yangu- nmekumbuka jinsi tulivyokuwa tunafundishana BOOK KEEPING aise Mungu akubariki popote ulipo ila njoo nikusalimu.
Na utakufa leo ma konyo eti umesoma shule ya vipaji maalum.Miaka mingi imepita, tulikutana jijini Dar tukiwa wanafunzi mimi nilikuwa Airwing, yeye alikuwa kama sikosei Kibasira kama sio itakuwa zanaki au jangwani kati ya shule hizo.
Tulipotezana tulipo maliza o level yeye alichaguliwa kama sikosei ni jangwani au zanaki.
Mimi nikatupwa Azaboy shule la wazee wenye vipaji vyao,wewe unae soma haoa kama ukusoma shule za vipaji miaka hiyo jua ulikuwa KILAZA tu hata kama sasahiv upo juu kimaisha ila still wewe ni KILAZA.
Kilichotutenganisha ni iki yeye alichagukiwa kombi nasema kombi sjui mpaka leo mwaita hivyo?tofauti na yangu popote alipo anae mjua amwambie rafiki yako sifi leo anakutafta nikusalimu tu best yangu- nmekumbuka jinsi tulivyokuwa tunafundishana BOOK KEEPING aise Mungu akubariki popote ulipo ila njoo nikusalimu.
Aseme tumchangie.Haijalishi kama atabwiya njimbo au mtukuru.Aseme tu.πππππJamaa atakuwa anaishi kwa kuunga unga Dar
[emoji28]kabisa.hakuna uzi wa ajabu umepata kuanzishwa kama huu.kanifurahisha sna jamaaAseme tumchangie.Haijalishi kama atabwiya njimbo au mtukuru.Aseme tu.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]