Namtafuta Rafiki yangu Nyachiro Alfred popote alipo

Namtafuta Rafiki yangu Nyachiro Alfred popote alipo

Namkumbuka huyo alikuwa class mate wangu zanaki, form 3 akachukua biashara mie nikabaki na pure arts darasa J A.
 
Miaka mingi imepita, tulikutana jijini Dar tukiwa wanafunzi mimi nilikuwa Airwing, yeye alikuwa kama sikosei Kibasira kama sio itakuwa zanaki au jangwani kati ya shule hizo.

Tulipotezana tulipo maliza o level yeye alichaguliwa kama sikosei ni jangwani au zanaki.

Mimi nikatupwa Azaboy shule la wazee wenye vipaji vyao,wewe unae soma haoa kama ukusoma shule za vipaji miaka hiyo jua ulikuwa KILAZA tu hata kama sasahiv upo juu kimaisha ila still wewe ni KILAZA.

Kilichotutenganisha ni iki yeye alichagukiwa kombi nasema kombi sjui mpaka leo mwaita hivyo?tofauti na yangu popote alipo anae mjua amwambie rafiki yako sifi leo anakutafta nikusalimu tu best yangu- nmekumbuka jinsi tulivyokuwa tunafundishana BOOK KEEPING aise Mungu akubariki popote ulipo ila njoo nikusalimu.
Alishaolewa
 
Miaka mingi imepita, tulikutana jijini Dar tukiwa wanafunzi mimi nilikuwa Airwing, yeye alikuwa kama sikosei Kibasira kama sio itakuwa zanaki au jangwani kati ya shule hizo.

Tulipotezana tulipo maliza o level yeye alichaguliwa kama sikosei ni jangwani au zanaki.

Mimi nikatupwa Azaboy shule la wazee wenye vipaji vyao,wewe unae soma haoa kama ukusoma shule za vipaji miaka hiyo jua ulikuwa KILAZA tu hata kama sasahiv upo juu kimaisha ila still wewe ni KILAZA.

Kilichotutenganisha ni iki yeye alichagukiwa kombi nasema kombi sjui mpaka leo mwaita hivyo?tofauti na yangu popote alipo anae mjua amwambie rafiki yako sifi leo anakutafta nikusalimu tu best yangu- nmekumbuka jinsi tulivyokuwa tunafundishana BOOK KEEPING aise Mungu akubariki popote ulipo ila njoo nikusalimu.
Enzi zenu neno kipaji lilikuwa na maana gani?
 
Miaka mingi imepita, tulikutana jijini Dar tukiwa wanafunzi mimi nilikuwa Airwing, yeye alikuwa kama sikosei Kibasira kama sio itakuwa zanaki au jangwani kati ya shule hizo.

Tulipotezana tulipo maliza o level yeye alichaguliwa kama sikosei ni jangwani au zanaki.

Mimi nikatupwa Azaboy shule la wazee wenye vipaji vyao,wewe unae soma haoa kama ukusoma shule za vipaji miaka hiyo jua ulikuwa KILAZA tu hata kama sasahiv upo juu kimaisha ila still wewe ni KILAZA.

Kilichotutenganisha ni iki yeye alichagukiwa kombi nasema kombi sjui mpaka leo mwaita hivyo?tofauti na yangu popote alipo anae mjua amwambie rafiki yako sifi leo anakutafta nikusalimu tu best yangu- nmekumbuka jinsi tulivyokuwa tunafundishana BOOK KEEPING aise Mungu akubariki popote ulipo ila njoo nikusalimu.
Na utakufa leo ma konyo eti umesoma shule ya vipaji maalum.
Ndio maana unaisoma namba unamtafuta mwenzio umtoe za kula
 
Back
Top Bottom