namtafuta rafiki yangu wa kitambo

namtafuta rafiki yangu wa kitambo

Ameshaweka hints zote, wapi walikutana na wakakutana tena lini na wapi wakaenda, si vizuri kumlazimisha kutaja jina. Na mlengwa kama yupo anasoma atajiju.

Huzayma, swali la kizushi: alikuacha na mzigo nini?
 
Nashauri watawala wa JF waangalie uwezekano wa kuunda jukwaa la 'Lost and Found' ambapo wanachama waliopoteana na watu wao wa zamani watafunguka huko.

Maana huwezi jua unaweza ukawa ulipotezana na mtu kwa muda mrefu na kumbe wote mkawa wanachama hapa JF.

Kweli Kabisa Jemedari
 
mnh vip ushapeleka matangazo kwenye vyombo vya habari jitahidi hata kupeleka picha yake akati yupo kichanga pale TBC1 kwenye kipindi cha bango
 
AISHA, popote pale ulipo naomba tuwasiliane mi ndo yule mtu wako wa zamani niliyekutoa sadaka kwa washkaji tukakupiga bond aka mande kule gheto keko baada ya wewe kunisaliti... ni PM plz nahtaji msamaha wako.
 
Namtafuta.
sijuwi nitamuona wapi na vipi, nikiwa msichana wa miaka 16 tulikutana kariakoo ZANZIBAR kwenye viwanja vya sikukuu, siku ya pili tulikutana hapo hapo na kuelekea alikokuwa akiishi, kunaitwa Kilimani, tokea hapo hatukuonana tena miaka mingi imepita.wakati huo hakukuwa na simu za mikononi , hatukuwa na mawasiliano tena na vile alikuwa mgeni pale ZENJ , alihama na kupotea moja kwa moja. hivi nitampata kweli ?

Toa maelezo vizuri zaidi ili ajitambue, ila uwe makini coz ka ameshakua mmme wa mtu mkuu yatakua makubwa {kama huyo mtu ni jinsia ya kiume} kwa sababu hujaweka wazi pia alikua ni nani yako!
 
Back
Top Bottom