namtafuta rafiki yangu wa kitambo

Ameshaweka hints zote, wapi walikutana na wakakutana tena lini na wapi wakaenda, si vizuri kumlazimisha kutaja jina. Na mlengwa kama yupo anasoma atajiju.

Huzayma, swali la kizushi: alikuacha na mzigo nini?
 

Kweli Kabisa Jemedari
 
mnh vip ushapeleka matangazo kwenye vyombo vya habari jitahidi hata kupeleka picha yake akati yupo kichanga pale TBC1 kwenye kipindi cha bango
 
AISHA, popote pale ulipo naomba tuwasiliane mi ndo yule mtu wako wa zamani niliyekutoa sadaka kwa washkaji tukakupiga bond aka mande kule gheto keko baada ya wewe kunisaliti... ni PM plz nahtaji msamaha wako.
 

Toa maelezo vizuri zaidi ili ajitambue, ila uwe makini coz ka ameshakua mmme wa mtu mkuu yatakua makubwa {kama huyo mtu ni jinsia ya kiume} kwa sababu hujaweka wazi pia alikua ni nani yako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…