Habari wana jukwaaaa
Mimi ni mtanzania mwenzenu nahitaji kwanamke wa kuustiri moyo wangu na kiwiliwili kwa ajili ya ndoa na sio ngono
Mwanamke awe ni miaka 30+
Awe ameolewa na kuachika
Awe na uwezo wa kuzaaa
Awe anajikimu kimaisha japo kwa 50%
Awe yiko tayari kuolewa
Awe mfanyakazi au anajishuhulisha
Awe anajua thamani ya kuolewa
Awe anajua umuhimu wa ndoa
Aweko tayari kuoshi sehemu yoyote Tanzania
Awe 5+ futi na kuendelelea
Muislamu atapewa kipao mbele na mkiristo lazima abadili dini
Jamaani nawahitaji waliotayari wani PM km haikuhusu naomba upite
Maelezo yangu binafi nitakupa baada ya kuni PM