mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 313
Habari wana jukwaaaa
Mimi ni mtanzania mwenzenu nahitaji kwanamke wa kuustiri moyo wangu na kiwiliwili kwa ajili ya ndoa na sio ngono
Mwanamke awe ni miaka 30+
Awe ameolewa na kuachika
Awe na uwezo wa kuzaaa
Awe anajikimu kimaisha japo kwa 50%
Awe yiko tayari kuolewa
Awe mfanyakazi au anajishuhulisha
Awe anajua thamani ya kuolewa
Awe anajua umuhimu wa ndoa
Aweko tayari kuoshi sehemu yoyote Tanzania
Awe 5+ futi na kuendelelea
Muislamu atapewa kipao mbele na mkiristo lazima abadili dini
Jamaani nawahitaji waliotayari wani PM km haikuhusu naomba upite
Maelezo yangu binafi nitakupa baada ya kuni PM
Mimi ni mtanzania mwenzenu nahitaji kwanamke wa kuustiri moyo wangu na kiwiliwili kwa ajili ya ndoa na sio ngono
Mwanamke awe ni miaka 30+
Awe ameolewa na kuachika
Awe na uwezo wa kuzaaa
Awe anajikimu kimaisha japo kwa 50%
Awe yiko tayari kuolewa
Awe mfanyakazi au anajishuhulisha
Awe anajua thamani ya kuolewa
Awe anajua umuhimu wa ndoa
Aweko tayari kuoshi sehemu yoyote Tanzania
Awe 5+ futi na kuendelelea
Muislamu atapewa kipao mbele na mkiristo lazima abadili dini
Jamaani nawahitaji waliotayari wani PM km haikuhusu naomba upite
Maelezo yangu binafi nitakupa baada ya kuni PM