Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
Ndoa miaka minne hujapata mtoto duh, kuna shida hapo , au ndiomaana unaanza kutaka kula mashosti wa mkeo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si utongoze ukule chap chap?!!! Au?
Inawezekana sikati kiu vizuri.Mke wako huwa anakupa kisawasawa!?
Yaani, kuna kipindi nyege zikizidi kila mwanamke utamuona mzuri. Yaani hata kama hana uzuri wowote, utaanza tu kumtafutia uzuri wake wa kipekee.
Ule usemi wa kizungu usemao, 'the beauty is in the eyes of the beholder' nadhani huyo beholder ni mwanaume mwenye nyege.
Unaweza kumtamani akakupa. Baadae unajitafakari, hivi yule nilienda kufata nini pale?
Pole sana Mkuu.
Kawaida ya panya, ye anachotaka ni kitobo tu ilimradi aingie...Kuna sehemu amesema ni wabaya kuzidi mke wake 😃 sasa anawatamani wa nini? Au kichupa kimejaa maskini maana genye nazo zikizidi hazijwahi muacha mtu salama....
Ni kweli ni wabaya (kiumbo) kuliko mke wanguKuna sehemu amesema ni wabaya kuzidi mke wake [emoji2] sasa anawatamani wa nini? Au kichupa kimejaa maskini maana genye nazo zikizidi hazijwahi muacha mtu salama....
Dah....ushauri mbovu sana huu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]Pole sana jitahidi kuwapotezea hao mashemeji zako.
Na ile amri ya Mungu ya 6 kuwa usizini, na ile ya 9 usitamani mwanamke asiyekuwa wa kwako wameandikiwa kina nani?Kumbukumbu la torati 14:7
Enyi wanaume, hamjui ya kwamba wanawake wameumbwa kwaajili yenu?
Basi kila mmoja wenu na akijisikia kujitwalia mwanamke yeyote na ajitwalie. Ila tu isiwe mtu mke huyo uliyemtamani ana mume
Hivyo mleta mada bila kupepesa macho hiyo ni halali yako
Tuambie tatizo gan , umegunduaNdugu zangu nawashukuru kwa ushauri.
Tatizo nimeligundua, nitalifanyia kazi.
Aaagh!. Mwenye kichupa kilichojaa.Kwamba beholder ni mwanaume mwenye nini? 🤣🤣🤣
Ndugu zangu nawashukuru kwa ushauri.
Tatizo nimeligundua, nitalifanyia kazi.
Kumbukumbu la torati 14:7
Enyi wanaume, hamjui ya kwamba wanawake wameumbwa kwaajili yenu?
Basi kila mmoja wenu na akijisikia kujitwalia mwanamke yeyote na ajitwalie. Ila tu isiwe mtu mke huyo uliyemtamani ana mume
Hivyo mleta mada bila kupepesa macho hiyo ni halali yak
Ubovu wake ni nini?Dah....ushauri mbovu sana huu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]
Hapo nimetania... Lakini kwa ujumla Biblia ina mambo ya kipuuzi kwelikweliNa ile amri ya Mungu ya 6 kuwa usizini, na ile ya 9 usitamani mwanamke asiyekuwa wa kwako wameandikiwa kina nani?
.
.
Nikisema siamini biblia ina mambo ya kipuuzi watu hawanielewi
Asante kwa kuona hilo 😀Hapo nimetania... Lakini kwa ujumla Biblia ina mambo ya kipuuzi kwelikweli
Ni vyema tupate mahitaji ya mioyo yetuDuuuu uongo mtupu huogopi kupotosha wenzio?
We Evelyn wewe, umenichekesha...Kawaida ya panya, ye anachotaka ni kitobo tu ilimradi aingie...