Suala hapa ni uaminifu na sio ukubwa wa hela husika.
Ukicheka na nyani sasa huko mbeleni utavuna mabua, maana atasema aah jamaa hana tatizo hata nikikomba hela zake bila taarifa.
Mkuu hapa na copy & paste,mawazo yako kama yangu.Issue sio laki tano.
Issue ni kile kitakacho jengeka hapa ukiinamisha kichwa chini,itakuja kukusumbua baadae,yaani mama mkwe asipate matatizo siku zote mpaka ulipo muachia mchumba ATM card?...Usiogope kumvimbia eti kwa vile unapenda,hata kama hatoweza kuzirudisha(kwa asilimia kubwa pesa katumia mchumba kwa kivulili cha Mama mkwe) basi weka clear kuwa hukupenda na asirudie tena.