Namuelewa sana Waziri wa Afya

Namuelewa sana Waziri wa Afya

Huyu Mama Sijui Ameolewa? Yuko Powa Sana Yaani Kila Nikimtazamaga Huwa Hanichoshi, Hakika Anatimiza Sifa Za Maanani Za UUMBAJI Wake Uliotukuka.
Hakika Ni Mzuri Na Anastahili Sifa Za Kutosha Maana Nikiendelea Kumsifia Naweza Nikavuka Mipaka NA Nikaleta Madhara...
Sasa una mwelewa vipi kisha tena una anza na swali kama ameolewa?
 
Mkuu huyo ni waziri halafu pia ni mke wa mtu, si vema kumjadili hapa wakati umaarufu wake ni siasani tu. Tujadili utendaji wake ambao ndio dhamana aliyonayo kwa wananchi.
Kwani kuwa fiti idara zote umekuelewaje? Tatizo mawazo yetu tunayapeleka kwingineee!
 
Huyu mama kwa kweli kajaaliwa mnyazi Mungu kamba kheri ya akili na mwili. Amina.
 
Hawa ndio wanaume wetu jamani!
90% ya waliochangia hapa ni waume za watu!
Hongereni wanawake mlioko ndoani,nyie ni mashujaa.
Mimi sijasema kitu lakini, nimeishia kuangalia tu mafirauni wakipashana habari.
 
Mgeuze nyuma tumuone alivyo!

upload_2016-3-30_18-11-53.png
 
Back
Top Bottom