Franco Zetta
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 1,661
- 843
Sasa una mwelewa vipi kisha tena una anza na swali kama ameolewa?Huyu Mama Sijui Ameolewa? Yuko Powa Sana Yaani Kila Nikimtazamaga Huwa Hanichoshi, Hakika Anatimiza Sifa Za Maanani Za UUMBAJI Wake Uliotukuka.
Hakika Ni Mzuri Na Anastahili Sifa Za Kutosha Maana Nikiendelea Kumsifia Naweza Nikavuka Mipaka NA Nikaleta Madhara...
Wewe hizi takwimu umepata wapi?Hawa ndio wanaume wetu jamani!
90% ya waliochangia hapa ni waume za watu!
Hongereni wanawake mlioko ndoani,nyie ni mashujaa.
Wengi wa waliochangia hapa nimewahi kuwaona humuhumu wakiongelea kuhusu wake zao.Wewe hizi takwimu umepata wapi?
Kwani dhambi..!!!???Wengi wa waliochangia hapa nimewahi kuwaona humuhumu wakiongelea kuhusu wake zao.
As a woman,nisingefurahi kumuona mume wangu akijadili upuuzi kama huu.Kwani dhambi..!!!???
Muda wa kazi huu kijana.Kuna yule mwingine anaitwa angela kairuki, hatareeee
Yuko fiti idara zoote!Kabisa mkuu.
Mkuu huyo ni waziri halafu pia ni mke wa mtu, si vema kumjadili hapa wakati umaarufu wake ni siasani tu. Tujadili utendaji wake ambao ndio dhamana aliyonayo kwa wananchi.Yuko fiti idara zoote!
Kwani kuwa fiti idara zote umekuelewaje? Tatizo mawazo yetu tunayapeleka kwingineee!Mkuu huyo ni waziri halafu pia ni mke wa mtu, si vema kumjadili hapa wakati umaarufu wake ni siasani tu. Tujadili utendaji wake ambao ndio dhamana aliyonayo kwa wananchi.
Kwani wewe umenielewaje?Kwani kuwa fiti idara zote umekuelewaje? Tatizo mawazo yetu tunayapeleka kwingineee!
kamba=kampa?Huyu mama kwa kweli kajaaliwa mnyazi Mungu kamba kheri ya akili na mwili. Amina.
Mimi sijasema kitu lakini, nimeishia kuangalia tu mafirauni wakipashana habari.Hawa ndio wanaume wetu jamani!
90% ya waliochangia hapa ni waume za watu!
Hongereni wanawake mlioko ndoani,nyie ni mashujaa.
HahahahahaaaMimi sijasema kitu lakini, nimeishia kuangalia tu mafirauni wakipashana habari.