mensaah
JF-Expert Member
- Sep 12, 2016
- 927
- 1,311
Kuitwa honey au sweet sio kigezo cha kupendwa sana wengine wanaigiza tu, halafu hayo majina ni mazoea kuyatamka wengine kuyaita tunaona shida kidogo kutokana na kutoyatumia mara kwa maraWadau,
Naombeni msaada mwenzenu mpenzi wangu namuita honey ila yeye ananiita 'nyangema' ananipenda kweli.
Hivyo usimhukumu hakupendi kwa kuwa hakuiti majina utakayo wewe, binafsi hayo majina kuyatamka tu huwa naona kera but haimaanishi ukimwita mpenzi wako au mkeo jina lake ndio humpendi. Uzungu unawapoteza mnaojifanya watoto wa mjini