huyu kocha anamuweka kipa namba 1 bench na beki bora Manyanya, kazingua huyo kocha!Leo ni mechi ya pili mfululizo namuona huyu kipa wenu Mapepe asiyetulia golini akifanya vituko na kuigharimu timu. Balola ni mkurupukaji na asiyejua muda gani afanye nini, muda gani asifanye.
Siko hapa kuongelea Mapinduzi Cup bali mashindano makubwa ambayo Namungo mnashiriki, chukueni hatua kabla hamjaangushwa shimoni na Balola.
Yupo Jonathan Nahimana yule golikipa namba moja wa timu ya taifa ya Burundi.Leo ni mechi ya pili mfululizo namuona huyu kipa wenu Mapepe asiyetulia golini akifanya vituko na kuigharimu timu. Balola ni mkurupukaji na asiyejua muda gani afanye nini, muda gani asifanye.
Siko hapa kuongelea Mapinduzi Cup bali mashindano makubwa ambayo Namungo mnashiriki, chukueni hatua kabla hamjaangushwa shimoni na Balola.
Wana golikipa Bora kuliko yeyote VPL Nahimana ambaye ni Burundi 1Leo ni mechi ya pili mfululizo namuona huyu kipa wenu Mapepe asiyetulia golini akifanya vituko na kuigharimu timu. Balola ni mkurupukaji na asiyejua muda gani afanye nini, muda gani asifanye.
Siko hapa kuongelea Mapinduzi Cup bali mashindano makubwa ambayo Namungo mnashiriki, chukueni hatua kabla hamjaangushwa shimoni na Balola.
Acha uongo labda una USHOGA nayeWana golikipa Bora kuliko yeyote VPL Nahimana ambaye ni Burundi 1
Katika mafunzo ya ukipa ni kosa kubwa kipa kufuata mpira ambao beki na mshambuliaji wanawania na wewe kama kipa huna uhakika wa zaidi ya 50% kuuwahi. Ukiingilia utakutana na hali kama hiyo ya kutudishiwa mpira halafu unapishana nao.Goli la kwanza aliyeharibu ni beki ,yeye alishamwona kipa ametoka halafu anaugonga tena kwa kichwa kurudishia ,kwa upande wangu Abarola amejitahidi mno
Sijui ni lini uliniona nikiwa nakomenti kama shabiki wa Yanga. Mashabiki wa aina yako nawaachia wasio na uvumilivu wa kisoka mpambane nao Mimi siyo saizi yenu.