Namungo FC mkijiamini, mkijitambua, mkiacha Utoto na kama baadhi yenu hamjahongwa nina uhakika leo Mnashinda au mnatoka Sare

Namungo FC mkijiamini, mkijitambua, mkiacha Utoto na kama baadhi yenu hamjahongwa nina uhakika leo Mnashinda au mnatoka Sare

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Kwa aina ya Complacency iliyoko Yanga SC kwa sasa endapo tu Namungo FC wataitumia vyema Kwanza kwa Kuwahesabia Yanga SC, kucheza kwa Nidhamu na Mikakati, wakiacha Utoto na Upuuzi ambao Wachezaji wengi wakicheza na Vilabu vya Simba na Yanga hua wanao, wakicheza Kitimu, Wakijiamini na Kupambana kweli naona leo Namungo FC anashinda au anatoka Sare na Yanga SC pale Benjamin Mkapa Stadium Temeke Mkoani ( Jijini ) Dar es Salaam.
 
Aisee! Unauhakika?!..
Tena 100% Ndugu na nakuomba itunze hii post yangu na huu Uzi pia. Kama Namungo FC watazingatia niliyoyasema hapa Watashinda au watatoka Sare ila Yanga SC leo hashindi.
 
Namungo haiwezi kasi ya Yanga SC
Siko hapa Kubishana ila kwa Kujiamini kabisa nina uhakika leo ama Yanga SC anafungwa au anatoka Sare na Namungo FC ila Kushinda hatoshinda.

Tunza hii post yangu tafadhali na tutaonana Usiku wa Saa 3 Mechi yao itakapomalizika.
 
Siko hapa Kubishana ila kwa Kujiamini kabisa nina uhakika leo ama Yanga SC anafungwa au anatoka Sare na Namungo FC ila Kushinda hatoshinda.

Tunza hii post yangu tafadhali na tutaonana Usiku wa Saa 3 Mechi yao itakapomalizika.
Hii mechi ya muhimu sana kwa Yanga SC kukusanya point za ubingwa usitegemee itakuwa legelege. Bila shaka wewe ni mmoja wa wale wanaoota simba kutwaa ubingwa ligi kuu
 
Leo kama hakuna fitina ya gongo wazi Namungo FC anashinda mapema sana, na kesho Simba anamfunga Orlando pirates goli mbili kwa moja.
 
Punguza kuwashwa makalio, Hayati Magufuli ataendelea kuishi miongoni mwa watanzania wazalendo.

Wewe kima mmoja usiye na mbele wala nyuma hata usipompenda huna madhara.
Afadhari ww umesema miongoni mwa watanzania mimi simo
 
Toa sababu. Vinginevyo ni betting
Siko hapa Kubishana ila kwa Kujiamini kabisa nina uhakika leo ama Yanga SC anafungwa au anatoka Sare na Namungo FC ila Kushinda hatoshinda.

Tunza hii post yangu tafadhali na tutaonana Usiku wa Saa 3 Mechi yao itakapomalizika.
 
Back
Top Bottom