Namungo FC mkijiamini, mkijitambua, mkiacha Utoto na kama baadhi yenu hamjahongwa nina uhakika leo Mnashinda au mnatoka Sare

Namungo FC mkijiamini, mkijitambua, mkiacha Utoto na kama baadhi yenu hamjahongwa nina uhakika leo Mnashinda au mnatoka Sare

Leo kama hakuna fitina ya gongo wazi Namungo FC anashinda mapema sana, na kesho Simba anamfunga Orlando pirates goli mbili kwa moja.
Kwahiyo fitna huwa ipo Yanga akishinda tu? Wengine wakishinda ni uwezo wao?

Na fitna hyo ya Yanga ina mahusiano gani na ya Simba kwa Orlando? Ebu tuliza presha mzee.
 
Yani mnakaa kumtumainia Namungo awasaidie? [emoji23][emoji23][emoji23] Wewe yalishakushinda mpaka unaomba majirani?
 
Hii mechi ya muhimu sana kwa Yanga SC kukusanya point za ubingwa usitegemee itakuwa legelege. Bila shaka wewe ni mmoja wa wale wanaoota simba kutwaa ubingwa ligi kuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa aina ya Complacency iliyoko Yanga SC kwa sasa endapo tu Namungo FC wataitumia vyema Kwanza kwa Kuwahesabia Yanga SC, kucheza kwa Nidhamu na Mikakati, wakiacha Utoto na Upuuzi ambao Wachezaji wengi wakicheza na Vilabu vya Simba na Yanga hua wanao, wakicheza Kitimu, Wakijiamini na Kupambana kweli naona leo Namungo FC anashinda au anatoka Sare na Yanga SC pale Benjamin Mkapa Stadium Temeke Mkoani ( Jijini ) Dar es Salaam.
Hakuna timu ya kuifunga Yanga.We jiandae uone moto wa Yanga April 30 siyo kuwabebesha wengine gunia la misumari
 
Tatizo namungo ina wachezaji wengi sana waliopitia yanga watazingua tu kama mechi iliyopita.
 
Washaleta utoto huko beki anashindwa kuokoa mpira unaopita mbele yake kabisa [emoji23]
 
Yule kolo aliyefungua huu uzi yuko wapi? Akija mwambien kimbunga kimepita Namungo FC. Bado nyau SC waandae kutoa point 3 za kumsindikiza bingwa
 
Tatizo namungo ina wachezaji wengi sana waliopitia yanga watazingua tu kama mechi iliyopita.
Kwaiyo wewe kolo kwa akili zako timamu kabisa ulitegemea namungo amfunge yanga leo? Na timu zote ambazo zimetembezewa kichapo na yanga zina wachezaji wengi waliopita yanga eti? Na bahati yao walikuwa wanapigwa 5 washukuru tu umakini wa yanga kwenye kumalizia nafasi umekuwa mdogo
 
Siko hapa Kubishana ila kwa Kujiamini kabisa nina uhakika leo ama Yanga SC anafungwa au anatoka Sare na Namungo FC ila Kushinda hatoshinda.

Tunza hii post yangu tafadhali na tutaonana Usiku wa Saa 3 Mechi yao itakapomalizika.
Heheheh, Ngoja Tuitunze Bhn [emoji1787]
 
Hivi Simba siku ya ngao ya jamii mlihongwa kiasi gani??
 
Tatizo namungo ina wachezaji wengi sana waliopitia yanga watazingua tu kama mechi iliyopita.
Na hapa napo wachezaji wa Simba walichezea Yanga?
FB_IMG_16507194257372756.jpg
 
Siko hapa Kubishana ila kwa Kujiamini kabisa nina uhakika leo ama Yanga SC anafungwa au anatoka Sare na Namungo FC ila Kushinda hatoshinda.

Tunza hii post yangu tafadhali na tutaonana Usiku wa Saa 3 Mechi yao itakapomalizika.
Basi sawa
 
Back
Top Bottom