SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Kwahiyo fitna huwa ipo Yanga akishinda tu? Wengine wakishinda ni uwezo wao?Leo kama hakuna fitina ya gongo wazi Namungo FC anashinda mapema sana, na kesho Simba anamfunga Orlando pirates goli mbili kwa moja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii mechi ya muhimu sana kwa Yanga SC kukusanya point za ubingwa usitegemee itakuwa legelege. Bila shaka wewe ni mmoja wa wale wanaoota simba kutwaa ubingwa ligi kuu
sio namungo tu,hata orando anatoboaLeo kama hakuna fitina ya gongo wazi Namungo FC anashinda mapema sana, na kesho Simba anamfunga Orlando pirates goli mbili kwa moja.
Kojoa ulale boss mkubwasio namungo tu,hata orando anatoboa
Hakuna timu ya kuifunga Yanga.We jiandae uone moto wa Yanga April 30 siyo kuwabebesha wengine gunia la misumariKwa aina ya Complacency iliyoko Yanga SC kwa sasa endapo tu Namungo FC wataitumia vyema Kwanza kwa Kuwahesabia Yanga SC, kucheza kwa Nidhamu na Mikakati, wakiacha Utoto na Upuuzi ambao Wachezaji wengi wakicheza na Vilabu vya Simba na Yanga hua wanao, wakicheza Kitimu, Wakijiamini na Kupambana kweli naona leo Namungo FC anashinda au anatoka Sare na Yanga SC pale Benjamin Mkapa Stadium Temeke Mkoani ( Jijini ) Dar es Salaam.
Kila mechi mnakuja na sababu zake. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tatizo namungo ina wachezaji wengi sana waliopitia yanga watazingua tu kama mechi iliyopita.
Kwaiyo wewe kolo kwa akili zako timamu kabisa ulitegemea namungo amfunge yanga leo? Na timu zote ambazo zimetembezewa kichapo na yanga zina wachezaji wengi waliopita yanga eti? Na bahati yao walikuwa wanapigwa 5 washukuru tu umakini wa yanga kwenye kumalizia nafasi umekuwa mdogoTatizo namungo ina wachezaji wengi sana waliopitia yanga watazingua tu kama mechi iliyopita.
Samahan mkuu hii post tuitunze au tuifute?Siko hapa Kubishana ila kwa Kujiamini kabisa nina uhakika leo ama Yanga SC anafungwa au anatoka Sare na Namungo FC ila Kushinda hatoshinda.
Tunza hii post yangu tafadhali na tutaonana Usiku wa Saa 3 Mechi yao itakapomalizika.
Wangapi?Tatizo namungo ina wachezaji wengi sana waliopitia yanga watazingua tu kama mechi iliyopita.
Heheheh, Ngoja Tuitunze Bhn [emoji1787]Siko hapa Kubishana ila kwa Kujiamini kabisa nina uhakika leo ama Yanga SC anafungwa au anatoka Sare na Namungo FC ila Kushinda hatoshinda.
Tunza hii post yangu tafadhali na tutaonana Usiku wa Saa 3 Mechi yao itakapomalizika.
Na hapa napo wachezaji wa Simba walichezea Yanga?Tatizo namungo ina wachezaji wengi sana waliopitia yanga watazingua tu kama mechi iliyopita.
Basi sawaSiko hapa Kubishana ila kwa Kujiamini kabisa nina uhakika leo ama Yanga SC anafungwa au anatoka Sare na Namungo FC ila Kushinda hatoshinda.
Tunza hii post yangu tafadhali na tutaonana Usiku wa Saa 3 Mechi yao itakapomalizika.