Bakari Chijumba
Member
- Mar 22, 2019
- 46
- 55
Na Bakari Chijumba
Timu ya Namungo Fc yenye maskani yake wilayani Ruangwa Mkoani Lindi ,imefanikiwa Kupanda daraja na kutinga Ligi kuu Tanzania Bara,baada ya kuichapa Mawenzi bao mbili kwa Moja,kwenye uwanja wa Jamhuri Morogoro.
Mkuu wa wilaya ya Ruangwa Hashim Mgandilwa ni miongoni mwa waliosafiri na timu hadi Morogoro ambapo amesema hawajaingia Ligi kushindana bali kwenda kushinda
Kocha Mkuu wa Namungo FC Hetmana Thierry amesema licha ya kutinga ligi kuu bado wana kiporo cha mechi mbili nyumbani .
"Kwanza tunamshukuru Mungu katujalia kuipandisha Timu,hilo lilikua ni lengo la uongozi..Pili bado ligi haijaisha sawasawa,Tumepanda(Ligi kuu) ila tuna mechi mbili za nyumbani,tukimaliza kuzicheza tutajipanga kwa ligi kuu" amesema Hetmana Thierry.
View attachment 1078537
Timu ya Namungo Fc yenye maskani yake wilayani Ruangwa Mkoani Lindi ,imefanikiwa Kupanda daraja na kutinga Ligi kuu Tanzania Bara,baada ya kuichapa Mawenzi bao mbili kwa Moja,kwenye uwanja wa Jamhuri Morogoro.
Mkuu wa wilaya ya Ruangwa Hashim Mgandilwa ni miongoni mwa waliosafiri na timu hadi Morogoro ambapo amesema hawajaingia Ligi kushindana bali kwenda kushinda
Kocha Mkuu wa Namungo FC Hetmana Thierry amesema licha ya kutinga ligi kuu bado wana kiporo cha mechi mbili nyumbani .
"Kwanza tunamshukuru Mungu katujalia kuipandisha Timu,hilo lilikua ni lengo la uongozi..Pili bado ligi haijaisha sawasawa,Tumepanda(Ligi kuu) ila tuna mechi mbili za nyumbani,tukimaliza kuzicheza tutajipanga kwa ligi kuu" amesema Hetmana Thierry.
View attachment 1078537