Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Hata wewe unaweza kutangazwa leo eFM kuwa ni mwanachama wa Yanga ilihali huna kadi bali ni πΈ wa kuruka ruka kudandia udaku usioujua.Wanithibitishie kwa hiyo eFM waongo? Kolo FC Rage hakukosea, tokea lini kadi number ya tu ukaweka hadharani? Kwa hiyo eFM ni Database inajua namba zote za mashabiki wa Yanga.
Yaani huo ni utahila wa kubishana na chomo cha habari ambao mimi sina.
Sasa nyie na Yanga nani alidendandia vitu vivyo wahusu,kufungwa kafungwa Singida sasa wewe Kikumacho nini? Mnashobokea mechi za wanaume,tulieni zamu yenu tuwanunue kama malaya wa Kitambaa Cheupe,mchezee mashine kwa mara ya tano.Hata wewe unaweza kutangazwa leo eFM kuwa ni mwanachama wa Yanga ilihali huna kadi bali ni πΈ wa kuruka ruka kudandia udaku usioujua.
Efm na wewe wote mna wivu wa kike wajinga nyie
Unajua kunikamatia makoloSasa nyie na Yanga nani alidendandia vitu vivyo wahusu,kufungwa kafungwa Singida sasa wewe Kikumacho nini? Mnashobokea mechi za wanaume,tulieni zamu yenu tuwanunue kama malaya wa Kitambaa Cheupe,mchezee mashine kwa mara ya tano.
Kampikie mumeo ibenge ulaleUshajiuliza kwa nini haupo kwenye huo mkeka wa wanaume kumi na sita? Hebu tupe sababu kwa nini wewe haupo.
Ushajiuliza kwa nini haupo kwenye huo mkeka wa wanaume kumi na sita? Hebu tupe sababu kwa nini wewe haupo.Kampikie mumeo ibenge ulale
Labda utakuwa na akili kusoma hayo makundi yakoje nadhani mpaka sasa hujasoma hiyo copy zaidi ya kuteswa na mwiko wa ibenge
Kumbe πππSisi Yanga ni wadandiaji wa vitu visivyo tuhusu, ni kama Singida tu sasa wewe Kikuumacho nini? Tunashobokea mechi za wanaume,tunanunuliwa kama malaya wa Kitambaa Cheupe, tunachezea na kulamba mashine kila mara, utuache na umalaya wetu.
Na Dube alishasema kipindi yupo Azam alikua anafokewa kama mtoto akiwatungua mbumbumbu kwaiyo kumbe ngoma droo tu..Kocha wa Singida aliwahi kusema hayo maneno.
Pamoja na yote uwe na aibu pia kwa hayo usemayo kwamba kafaidika na matokeo ya mezani ndani ya miaka mitatu lakini ndio miaka hiyo Afrika imeitambua Yanga na hata zile ranks za Caf zimepanda kwa miaka hiyo..Eti mlianzisha sisi tunamaliza. Kwa misimu mitatu sasa mmefaidika kwa huu udanganyifu.
Unaongea utadhani una umuhimu wowote katika timu kumbe uko Kalumbaleza huko ndani ndani unashindia jezi ya chura ya mwaka juzi.
Kimataifa umetolewa kwa aibu. Sijui hata huo ujasiri wa kubishana mitandaoni unautoa wapi.
Nakubaliana na wewe kuwa ligi ya Tz ni maigizo tu. Halafu inaonekana NI LAZIMA KOMBE LICHUKULIWE NA TIMU ZA YANGA NA SIMBA.Kaka usipoteze muda na mpira wa bongo, hakuna Cha maana, ligi haina ushindani, ushindani hupo kwenye maneno TU...
NA wew ni mwanaume? Umefikia hatua gani huko.kimataifaUshajiuliza kwa nini haupo kwenye huo mkeka wa wanaume kumi na sita? Hebu tupe sababu kwa nini wewe haupo.
Halafu kule kulikuwa na wanaume, huko mlipo kuwepo nyie kwa Mujibu wa Kaduguda ni michuano ya kike, sasa sijajua kwa nini Kaduguda alisema hivyo au mnacheza huku mkiwa mmevaa shanga na bikini.
Ushajiuliza kwa nini haupo kwenye huo mkeka wa wanaume kumi na sita? Hebu tupe sababu kwa nini wewe haupo.Sio unapayuka kama umekalia bunzi la muhindi.NA wew ni mwanaume? Umefikia hatua gani huko.kimataifa
Kwani nyie hamkuvalishwa shanga na motsepe huko kwenye michuano ya kike mkatamba nazo mpaka.ikulu na hadi sasa mnazo hizo shanga?
Usilete porojo za kimwiko nyuma najua nabishana na chizi aliejeruhiwa na mwiko nyuma
Msikilize mmoja kati ya watu wenye akili hapo mwiko nyuma ambae ni wa kwanza halafu mzee manara wapili
Mkeka upi? labda uniambie kwenye huo mkeka unalialia uko hatua gani mpaka sasaUshajiuliza kwa nini haupo kwenye huo mkeka wa wanaume kumi na sita? Hebu tupe sababu kwa nini wewe haupo.Sio unapayuka kama umekalia bunzi la muhindi.
Wewe si umepost mkeka wa magroup, sasa kwanini ww timu yako ya Kolo fC haipo kwenye ule mkeka.Mnadadalika kama mmekalia kipisi cha chuma,wakati kupigwa kapigwa Singida.Mkeka upi? labda uniambie kwenye huo mkeka unalialia uko hatua gani mpaka sasa
WEwe ndo unapayuka baada ya kuteswa na ule mwiko wenu nyuma
Kwahiyo kule chini hujaona msimamo wa kundi simba au uwezo wako wa kufikiri umetanushwa na mwiko huko nyuma? πWewe si umepost mkeka wa magroup, sasa kwanini ww timu yako ya Kolo fC haipo kwenye ule mkeka.Mnadadalika kama mmekalia kipisi cha chuma,wakati kupigwa kapigwa Singida.
Suburini leo mcheze na kocha wenu wa akiba.
Kwenye mkeka ulioutuma?Sikuoni kwenye ule mkeka.....na kuuliza kwanini hakuwepo huna majibu.Kwahiyo kule chini hujaona msimamo wa kundi simba au uwezo wako wa kufikiri umetanushwa na mwiko huko nyuma? πView attachment 3241791
Kwenye mkeka ulioutuma?Sikuoni kwenye ule mkeka.....na kuuliza kwanini hakuwepo huna majibu.
Kitu haikuhusu unakipost post.
Nilikuuliza kwenye huo mkeka wa wanaume upo wapi hunijibu? Haya toa sababu kwa nini haupo kwenye huo mkeka......View attachment 3241826
Pitia kwa makini mpaka chini utamuona munyama simba
Ona sasa mwiko unavyokutesa chura wewe πView attachment 3241828
Najua hujasoma maana unaumizwa na msimamo timu yako kushika nafasi ya tatu kwenye kundi na kuambulia point 8Nilikuuliza kwenye huo mkeka wa wanaume upo wapi hunijibu? Haya toa sababu kwa nini haupo kwenye huo mkeka......