Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Wakati PRE-SEASON zikiendelea kwa baadhi ya timu hapa nchini zinazoshiriki ligi kuu Timu ya Namungo wao waamua kufanya UTALII WA UWINDAJI katika wilaya ya Karatu kando kando ya ziwa Eyasi waishiko Wahadzahe kabila maarufu Afrika kwa kuienzi Asili yao na ambao mabadiliko ya Teknolojia hayajaweza kuwaathiri.