Namungo ni dhaifu au sio dhaifu?

Omary kaaya na huyo ndugu Thabit wanacheza namba ngapi?..au ni moja ya technical staff?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UTOTO RAHA SANA ALAFU UKIJUA ITAKUSAIDIA NINI??????

LENGO LAKO HASA NI NINI

HILI NI JUKWAA LA MICHEZO NA SI JUKWAA LA USHABIKI ,WALA UPINZANI.

Ndio maana mnaambiwa kuwa WENYE akili Timamu ni wawili tu.


Kila mtu ana Mrefu wake na Kila Mtu ana Mfupi wake.

JESHI la south Africa ni JESHI Hodari.

Lakini likikabiriana na JESHI ALA marekani tutasemaje!!????

Kila mibonde ana Kibonde wake,
Na Kila Hodari ana Hodari wake.

Udhaifu Inategemeana umekutana na nani.
 
Ahaa, unazungumzia zamani, nilidhani kwa msimu huu. Kama ni zamani, Yanga ameshapigwa na Simba 6-0, 5-0, 4-1 na dozi nyingine ndogo ndogo za bao 3
Mimi si zungumzii magoli kama magoli izo 5,3 n.k Simba amesha fungwa.
Mimi nazungumzia timu iliyofungwa na Yanga maranyingi zaidi kama unahisi miaka ya 80 ndio zamani we anza kuhesabu kuanzia apo, kama 90 kwako ni zamani anzia apo kama 2000 ndi zamani anzia apo kama 2010 kwako ndio zamani we anzia apo mwisho utakuta Simba ndio timu zaifu kuliko zote zilizo wahi kucheza na Yanga.
Kwaiyo ukitaja udhaifu wa wengine jitazame wewe kwanza.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Duuu
 
Aisee.! Rage apewe PhD ya heshima kwa kweli
 
Hili swali liwe linaulizwa kwa kila mechi wawe wanasema mapema kabisa. Asante mtoa hoja.
 
Wajua lakini hawajui kuwa Yanga ya sasa ina uwezo wa kucheza dhidi ya "club" yoyote duniani. Kwa za ndani zote zitaonekana dhaifu. Ushahidi ni Simba kufungwa magoli 2, ngao ya jamii, yaliyokataliwa, wakati ndio kwanza inajengwa na timu mpya ya ufundi.
 
Ukweli Ni kwamba Yanga Ni timu Bora kwa Sasa,Ila nategemea itapata changamoto humu humu kwenye ligi ya NBC........Yanga imeweza kuwekeza kuendeleza kile ilichokipata msimu uliopita,bado kwenye upande wa striker hawajapata mbadala wa Mayele.

Mbadala wa Mayele! Du, hujui soka. Konkon ni zaidi ya Mayele. Ubora waje utaonekana kwenye mechi ngumu zenye mabeki visiki
 
8soon mtaanza kusema Yanga wamefanya minutes za kuweka watu wao CCL ndio maana kila mech wanashinda

Inabid mkubal kuwa kwa sasa yanga ipo kwenye ubora ambao labda haujawai kutokea ndan ya klab kwa miaka ata 20
 
Acha uongo mkuu ,unaweza kusaidia ushahidi?
 
Nikichoskia cedrik kaze anajieleza kwny press release ya leo, tayar NAMUNGO anakufa 3+
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…