Kabwili had video tunayo, na tunatazama huko pornhub.View attachment 2755844
Mwamedi kawala kichwa humu kipa la hovyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeee wee.Niseme nini wakati huna kitu kolo
Ulaaniwe ndo maana mnapenda sana ulozi ndo maana timu yenu ni hovyo baadae ukiwa mzee utawaambiaje wajukuu zako kuhusu hii picha je mayele aliukuta huu mpira au ilikuwajeπ€£π€£π€£π€£ππ€£πKabwili had video tunayo, na tunatazama huko pornhub.
Nataka video za hao unawataja tuoneee, hata km iko pornhub nambie nkaoneee.
Raha ya umbea uwe na evidence, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulaaniwe ndo maana mnapenda sana ulozi ndo maana timu yenu ni hovyo baadae ukiwa mzee utawaambiaje wajukuu zako kuhusu hii picha je mayele aliukuta huu mpira au ilikuwajeπ€£π€£π€£π€£ππ€£Kabwili had video tunayo, na tunatazama huko pornhub.
Nataka video za hao unawataja tuoneee, hata km iko pornhub nambie nkaoneee.
Raha ya umbea uwe na evidence, [emoji23][emoji2View attachment 27558523][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti ukuta wa yeriko ππππππ€£π€£ wakati kila muda upo wazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeee wee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaletaa vitu ambavyoo sijahitajiiii.Ulaaniwe ndo maana mnapenda sana ulozi ndo maana timu yenu ni hovyo baadae ukiwa mzee utawaambiaje wajukuu zako kuhusu hii picha je mayele aliukuta huu mpira au ilikuwaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji16]
Utasemaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti ukuta wa yeriko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] wakati kila muda upo waziView attachment 2755856
Mwanamke mbishi wew ndo umechagua kuteseka hama hiyo timu njoo jangwani bebi uenjoy[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaletaa vitu ambavyoo sijahitajiiii.
Unakwamaa wapiiii???
Nishasema πππππ€£π€£ila timu huna njoo yanga upate rahaUtasemaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hadi usemeee
Sasa Namungo nayo timu? Subirini muziki wa Tabora United na Mashujaa wa kigoma, Geita Gold mine, kama hamtalazimika kuwa wapole!! Hata hivyo pamoja na udhaifu wa Namungo, bado mnaweza kuangukia pua! Mkishinda hakuna la kujisifia, mkiangukia pua ni aibu kuchapwa na mdogo!! Mmezoea kucheza na timu zisizo na kwao!Kutokana na ubora wa yanga kila ambapo mechi ya yanga inapoisha kumekua na maneno kutoka kwa mashabiki wa timu kubwa pinzani na yanga kwamba yanga anacheza na timu dhaifu.
Baada ya kushinda goli 5 kwa mechi mbili mfululizo kwenye ligi kuu na kuwatoa al sabieh kwa jumla ya magoli 7-1 mashabiki pinzani wakasema izo timu ni dhaifu na atakapokutana na al-marrikh atapata upinzani mkali kwa maana iyo timu ina uzoefu wa michuano ya CAF ila game ya mzunguko wa kwanza yanga kashinda 2-0 na kuonesha uwezo mkubwa zaidi ya el marreick.
Kesho yanga anashuka dimbani kucheza na namungo. Kabla ya game ya kesho naomba kujua mtazamo wa mashabiki wa timu kubwa pinzani na yanga. Je namungo ni dhaifu au sio dhaifu?
Sawa mkuu acha tusubiri izo game vs tabora, mashujaa na geta goldSasa Namungo nayo timu? Subirini muziki wa Tabora United na Mashujaa wa kigoma, Geita Gold mine, kama hamtalazimika kuwa wapole!! Hata hivyo pamoja na udhaifu wa Namungo, bado mnaweza kuangukia pua! Mkishinda hakuna la kujisifia, mkiangukia pua ni aibu kuchapwa na mdogo!! Mmezoea kucheza na timu zisizo na kwao!
Mawazo mgando.Yanga wamefanya mbinu za kuweka watu wao kwenye uongozi wa timu za ligi kuu.Huu mchezo utaendelea kesho kwa kiongozi wa Namungo Omari Kaaya kupokea maagizo.Wamefanya pia kwa Tabora United na Thabit Kandoro.Wote ni viongozi wa kamati za Yanga na wanachama hai.Mpira wa Tanzania una safari ndefu.
Ukiona mtu ameshindwa kujibu hoja huwa anaganda kwa kudai mawazo mgando.Mawazo mgando.
Hakuna timu inayopata ushindi mkubwa kila siku. Kuna siku mambo yanakataa cha muhimu kinabakia ni point 3 tuHata hii timu dhaifu ya Namungo huku ikicheza ikiwa na msiba mkubwa lakini bado inawasumbua sana!! Mnaweza kushinda ila kwa ushindi kiduchu!! Na mkicheza mtapoteza pointi!!
Naitunza hii replySasa Namungo nayo timu? Subirini muziki wa Tabora United na Mashujaa wa kigoma, Geita Gold mine, kama hamtalazimika kuwa wapole!! Hata hivyo pamoja na udhaifu wa Namungo, bado mnaweza kuangukia pua! Mkishinda hakuna la kujisifia, mkiangukia pua ni aibu kuchapwa na mdogo!! Mmezoea kucheza na timu zisizo na kwao!
3 - 1Simba hiyo ilishinda goli ngapi kwenye mechi ya ngao ya hisani dhidi ya Bingwa wake Yanga wa misimu miwili mfululizo(2020/2021 & 2022/2023)?