Namungo SC hakika mwendo wameumaliza

Hili kundi la maajabu yaani kwenye kunddi hilo kuna timu imeshinda mechi zote na hajafungwa hata goli moja alafu kuna namungo ambaye kapigwa mechi zote na hajafunga ata goli moja.

Sasa hawa mazoezini wanafanyaga nini unajiuliza.
 
Hili kundi la maajabu yaani kwenye kunddi hilo kuna timu imeshinda mechi zote na hajafungwa hata goli moja alafu kuna namungo ambaye kapigwa mechi zote na hajafunga ata goli moja.

Sasa hawa mazoezini wanafanyaga nini unajiuliza.

Raja casablanca ni timu kubwa ndio maana imeshinda mechi zote
 
wewe mpuuzi acha kunanisha yanga na timu za kijinga, yanga ni mabingwa wa kiistoria africa nzima na ata nje ya bara la africa

Kwenye kundi la namungo kuna timu inaitwa pramids, yanga alishawai kukutana nayo mwaka juzi... uliza kilichomkuta yanga mechi zote mbili.. tena mechi alipeleka mwanza ili pitch mbovu imsumbue pyramids .. uliza kilichompata?
 
Namungo walikuwa wanabong'oa t@qo waarabu wanajipigia tu za kutosha! 🤣
 
Wewe mpuuzi acha kunanisha yanga na timu za kijinga, yanga ni mabingwa wa kiistoria africa nzima na ata nje ya bara la Africa.
Yanga mko na kipi cha kuheshimika AFRIKA achana na nje ya Bara.?
 
Namungo wala sina cha kuwadai.

Hadi hapo walipofika wapokee pongezi tu, Maana ni ushiriki wao wa kwanza wameutumia kwa kujifunza.
 
Hili kundi la maajabu yaani kwenye kunddi hilo kuna timu imeshinda mechi zote na hajafungwa hata goli moja alafu kuna namungo ambaye kapigwa mechi zote na hajafunga ata goli moja.

Sasa hawa mazoezini wanafanyaga nini unajiuliza.
Msemaji wao aliongea Sana .
Namungo wanaenda kuvunja rekodi ambayo Yanga ilishindwa kabisa mnamo mwaka 1998.
Rekodi ya kupigwa Goli 6 na Raja Casablanca.
 
Kihistoria [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
Kumbe historia uwa inacheza mpira
Wewe mpuuzi acha kunanisha yanga na timu za kijinga, yanga ni mabingwa wa kiistoria africa nzima na ata nje ya bara la Africa.
 
Wewe mpuuzi acha kunanisha yanga na timu za kijinga, yanga ni mabingwa wa kiistoria africa nzima na ata nje ya bara la Africa.
[emoji87][emoji87][emoji87]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…