Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
msimu huu yanga anachukua ligi mapema coz ana mipango mizizto ni kuleta kombe la afrika msimu huu huu,haina kungoja.Wazee wa robo tunawatikia kila la heri n atimu yenu unga mwana
Shirikisho, klabu bingwa yote makombe ya Afrika, ngoja yanga walete shirikisho hapa ndo tujue upo nae sawa na hizo robo fainali zako?Mkuu makombe ya Africa yapo mengi. Ni vyema useme moja kwa moja kua kombe la shirikisho (a.k.a kombe la losers) ndo mna mipango nalo mizito. Hili kombe kila timu inaweza kushiriki.
NB: Unapotaja kombe la Africa, kwetu sisi tunalitambua kombe moja tu ambalo ni la mabingwa (CAFCL). Huku timu chache sana hufanikiwa kushiriki.
Na zamu hii watakuwa wanajipigia kama ngoma ya lizombe kwa litimu la kusumbuliwa na Ihefu mtajua hamjuiMkuu makombe ya Africa yapo mengi. Ni vyema useme moja kwa moja kua kombe la shirikisho (a.k.a kombe la losers) ndo mna mipango nalo mizito. Hili kombe kila timu inaweza kushiriki.
NB: Unapotaja kombe la Africa, kwetu sisi tunalitambua kombe moja tu ambalo ni la mabingwa (CAFCL). Huku timu chache sana hufanikiwa kushiriki.
Hongera yenu ninyi mliopata ushindi mnene wa goli 5-0 Jana Kwa Kagera sugarMimi ninachofahamu kuna uwezekano mkubwa wa simba kudondosha pointi mpaka 7 hivi kwenye michezo yake 8 inayofuata baada ya ule waliocheza na Ihefu Fc, na kupata ushindi wa mbinde wa goli 1-0.
Na ndiyo kipindi hicho Mgosi mwenzangu Juma Mgunda atafungashiwa virago na kurudi zake Tanga.
shirikisho,klabu bingwa yote makombe y a afrika
ngoja yanga walete shirikisho hapa ndo tujue upo nae sawa na izo robo fainali zako?
Berkane ya Kenya?Afu berkane na pyramid wanakua wapi?
Hujui mpira tuliaBerkane ya Kenya?
una akili ndogo kwelikweliMkuu makombe ya Afrika yapo mengi. Ni vyema useme moja kwa moja kuwa kombe la shirikisho (a.k.a kombe la losers) ndio mna mipango nalo mizito. Hili kombe kila timu inaweza kushiriki.
NB: Unapotaja kombe la Afrika, kwetu sisi tunalitambua kombe moja tu ambalo ni la mabingwa (CAFCL). Huku timu chache sana hufanikiwa kushiriki.
Wewe unae jua Berkane ipi? maana washa tolewa au zipo mbiliHujui mpira tulia
berkane katolewa shirikishoHalafu Berkane na Pyramid wanakuwa wapi?
hahahaha,kajibu kwa uhakika kumbe kakosaWewe unae jua Berkane ipi? maana washa tolewa au zipo mbili