Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Mjumbe hauawi, nawajulisha viongozi wa Simba kuwa Namungo ikiwa na kocha msaidizi, beki wa zamani wa Yanga anayefanana sana na Karim Mandonga mtu kazi, Shadrack Nsajigwa maarufu kama Fuso ambaye katika maisha yake hatokuja kumsahau Emmanuel Okwi wako kwenye mikakati mizito ya kuikabili Simba yenye majeruhi kibao, mkitoa draw tu Yanga bingwa, nyie endeleeni kubishana huko.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app