Namuombea Fiston Mayele afanye vuziri kimataifa

Kwani uongo? Ligi yetu ni ya kimama sana, ndio mana kimataifa tunaishia kupigwa nje ndani, dakika za mwanzoni tu
 
Hivi hii timu iliyopigwa 3 o'clock Uganda ina striker wa kiwango cha Mayele?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…