Namuona Edgar Devis kwenye damu ya Pappy Tshishimbi

Zullu?!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona Kikosi cha Bilion 1.3 kikitoa sare dhidi ya kikosi cha Mil 540.
Na bado umesajili ili uhakikishe unafunga magoli mengi....
Badala kumshukuru mungu umeponea chupuchupu kubakwa hadharani wewe unaleta nyodo! Wenyewe wanakusikia ujue!

Ukijipendekeza ndio utajua kuwa maharage ni mboga na ni futari pia ni kiwanda cha msimbati.
 
Badala kumshukuru mungu umeponea chupuchupu kubakwa hadharani wewe unaleta nyodo! Wenyewe wanakusikia ujue!

Ukijipendekeza ndio utajua kuwa maharage ni mboga na ni futari pia ni kiwanda cha msimbati.

hahahahaha mkuu umenichekesha. Eti chupuchupu. Hebu tumia angalau percentage chache ya uwezo wako wa kufikiri. Kikosi cha Bilioni 1.3 ndo huwa kinabaka vile...tena dhidi ya kikosi cha Milion 450?

Shukuru Mungu Kuwa mbaya wako "Amis Joslin Tambwe" na kijana machachari aliyefungiwa na shabiki wa simba(karia) aiwaye "Obrey Cholla Chirwa" hawakuwapo wote.

vinginevyo mngekuwa mitaa ya msimbazi pale mkiwataka viongozi wenu wairudishe timu mikononi mwenu kutoka kwa "MO".
 
Endelea kubisha, Maana ulibisha msimu wa 2016/17 Yanga hawezi kuwa Bingwa. Ukabisha hata kumtambua Bingwa lakini mwisho wa siku ulimtambua kwa lazima.
Bingwa wa kukwepa swali na kujibu unachojua hakikuumizi nafsi
 
mapema sana tena sana kumsifia.

UNAMKUMBUKA JAJA KWENYE MECHI YAKE YA KWANZA YA NGAO YA HISANI VS AZAM FC?
 
Unatia aibu unaposema ni kikosi cha 450m unasahau mlikuwa mnajazia tu walotoka ila hiyo hesabu kwani kuna kamusoko, chirwa, tambwe, abdul, mahadh na wale wote mlokuwa nao? Ukiangalia kwa ujumla wa kikosi bado mmetumia gharama nyingi ninyi.. Unajifariji tambwe na chirwa hawakuwepo, umesahau mechi ngapi walikuwepo na mkala mbata? Acha unazi tumia akili kidogo... Sio kila kitu lazima uwe mjuaji.. Huyo tshishimbi ni kweli alicheza vizuri na ndo maana hamkufungwa mapema na gadiel
 
Angalia na mtu unae mshauri.. Subiri aje akwepe swali
Yani hawa jamaa wameona jana wameshindwa wanaleta sababu za kijuha.

hivi hawajiulizi ni kwanini huyo shishi baby na gadiel michael ndio walikuwa wanaonekana sana? simply walikuwa wanashambuliwa sana na mara zote walizokuwa wanaonekana ilikuwa ni wakati wakuokoa mashambulizi.
 
Ndo ushangae.. Lakini kila mara huyu bwana ni kuikosoa simba tu! Sijui simba ikifanya madudu yeye anaumiaje wakati yeye ni chura fc

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Mhh Eti walikuwa wakishambuliwa muda wote! Ona mtu akipigishwa magopi hapobila kupenda. Waswahili wanasema "Muosha, Huoshwa" Hahaha
 
mapema sana tena sana kumsifia.

UNAMKUMBUKA JAJA KWENYE MECHI YAKE YA KWANZA YA NGAO YA HISANI VS AZAM FC?

Kwani JaJa alikuwa scouted na Yanga? Yule si aliletwa tu na Maximo. By the way sikuwahi kupost humu nikimsifia Jaja hata siku moja.

Pia kumbuka tulianza mapema sana kumsifia Tambwe, na wala hakuwahi kutuambisha. Kila akikutana na MIKIA FC kwa namna yeyote ile ni lazima atupie.
 
Kama ulianza mapema basi ni kipindi akiwa simba maana ninyi mlimuokota baadae sana baada ya kuwaliza vyakutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…